Mchumba wangu ni Kikojozi

Mchumba wangu ni Kikojozi

mchumba wako kikojozi?,mnaishi nyumba moja?,jaribu kumtafutia diapers huwa zinasaidia
 
Inanishangaza, watu wanahangaika kuwakojoza wanawake zao, sasa wako anakojoa, sasa unaona kero. ????
 
mpeleke ccbrt labda wanaweza tatua tatizo lake
 
Mchumba wangu nikikojoz nimemvumilia kwa Mda mrefu Lakin sasa yamenishinda nasijui nifanyeje.kiukweli nimechoka naomba ushauri.

Kabla sijashauri/kukwambia cha kufanya ili kumaliza hilo tatizo niambie kwanza kama tatizo lake amezsliwa nalo au kaanza ukubwani?
 
Binti Kigoli hayo ni maradhi tu na yanatibika kwa hakika. Nitumie ujumbe nikuelekeze atakapopata dawa ya kutumia kwa wiki moja tu na kupona kabisa. Upendo wa kweli na dhati huyashinda yote yaliyo kinyume na Upendo.
 
Mchumba wangu nikikojoz nimemvumilia kwa Mda mrefu Lakin sasa yamenishinda nasijui nifanyeje.kiukweli nimechoka naomba ushauri.


Pole !!!!! Kwa matatizo ya mchumba wako. Kwanza endelea kusitiri mwenzako ya pili utufahamishe huu kama mchumba inaamana umegundua ukojozi wake mchana au tayari mmepeana kitanda kimoja siku zote
 
Kwanza kama mwanamke mkubwa nakuonya usiseme tena hivi sio vizuri kiimani na kijamii,pili mpe maji ya yaliooshewa mchele,asipo acha jaribu hivi kwanzaasinywe maji zaidi ya saa kumi jioni pia kama unalala nae weka alam kumuamsha kukojoa kila baada ya masaa matatu baadae utaongeza masaa mpaka sita baadae atakua conditioned ataacha kabisa ,ukipata mtoto utaelewa ninachokuambia. Upendo husitiri wingi wa dhambi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom