Very nice comment hii ni ya mwaka 2019 bro though leo ni tarehe 13 january, mkuu umesema hkn anaejua wanawake lkn kwa heshima ya hii comment ww unawajuaa....Huyo ulimkosea kuanzia mwanzo. Ulimuendea kistaarabu mno na ukawa mpole mno. Dalili mojawapo ni kukaa mwaka bila papuchi...
Wanawake hawapendi nice guys mkuu. Hata kama ni muoaji, be a man. Kuwa na misimamo. Usifuate matakwa yake muda wote, be a priority to yourself.
Muendeshe. Demand utmost respect. Usionyeshe kumuamini. Onyesha kuwa una options na sio kwamba yeye ndio kila kitu kwako. Mwambie kuwa she is highly replaceable hivyo akijiskia at any time anaweza kuondoka.
Mmiliki, lakini be confident. Usimfuatilie mawasiliano yake na nyendo zake. Na ukigundua kitu kwenye simu yake, usimwambie. Basically ingekuwa mahakamani tungesema whatever you find in her phone is inadmissible evidence.
Hakuna principle moja kwamba ukimpa mwanamke kitu flani atatulia. No man knows what women want. Neither do themselves. Neither does God, hata akasema tuishi nao kwa akili.
Hizo principles nilizokupa zitakukinga dhidi ya upuuzi wa hawa viumbe in the future. Your sanity is more important than sex and affection.
Huyo hata ukimsamehe, nakuasi usirudiane naye. Ameshakumark weakness yako. Alianza kukupush limits zako kidogo kidogo na ameshazisogeza sana. Hakufai tena.
Kila mtu ana namna yake ya kudeal na heartbreak. Do what a nigga's got to do.
Sent using Jamii Forums mobile app
Awa viumbe ukiingia kichwa kichwa kulia na maskitiko avitakuacha salama, muhimu ni kuishi maisha yako, uwe mtu usiyetabirika, Kosa ambalo yeye ataliona dogo ww likuze, ambalo yy ataliona kubwa ww lifanye liwe dogo, mfanye aamini hata bila ww still utasimama tena ndani ya muda mfupi tu, na tena unaweza kuwa na mwingine....
Azitegemee akiri zako na sio ww utegemee zake, mpe nafsi, mshauri pale tu inapobidi sio kila mkiingia rum ww ni ushauri na nasihi km mko angaza, muongezee maalifa kidogo yale ambyo ww unayahitajii....mfanye kuwa rafiki na sio km ulivyo ww.....
Sent using Jamii Forums mobile app