Wakuu nakuja jukwaani kuelezea yaliyonikuta siku ya leo, mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 31 bahati nzuli nilipigiwa simu na mama yangu mdogo kua kuna binti mahali flani ananifaaa.
Basi nikapanga siku nikaenda nikamwona, kweli alikua ni msichana mzuli sana basi tulianza mahusiano nae mapenzi yakanoga ndipo nikapanga mwezi wa 11 mwaka 2017nikajitambulishe kwao kwa kupeleka posa.
Basi jmosi hii nilichokiona kimeniuma sana binti alikua kazoea kuja kwangu kila weekend ,ghafla akabadilika ,akasema jmosi hii hatokuja kwani anaumwa alafu tulikua tunachati mara kwa mara ghafla siku hiyo mawasiliano yalikata, basi nikajifariji kua wenda kwa sababu anaumwa atakua kalala ama kachoka.
Nikaenda zangu kupepesa macho ghafla demu wangu kapita kabebwa na pikipiki kufatilia wanaingia maeneo ya gest na jemba imeniuma sana
Basi nikapanga siku nikaenda nikamwona, kweli alikua ni msichana mzuli sana basi tulianza mahusiano nae mapenzi yakanoga ndipo nikapanga mwezi wa 11 mwaka 2017nikajitambulishe kwao kwa kupeleka posa.
Basi jmosi hii nilichokiona kimeniuma sana binti alikua kazoea kuja kwangu kila weekend ,ghafla akabadilika ,akasema jmosi hii hatokuja kwani anaumwa alafu tulikua tunachati mara kwa mara ghafla siku hiyo mawasiliano yalikata, basi nikajifariji kua wenda kwa sababu anaumwa atakua kalala ama kachoka.
Nikaenda zangu kupepesa macho ghafla demu wangu kapita kabebwa na pikipiki kufatilia wanaingia maeneo ya gest na jemba imeniuma sana