Warren.T
JF-Expert Member
- May 3, 2015
- 900
- 318
Ila kama hofu yako ni kumegewa hata angeenda chuo kingine kama mwenyewe akiamua kumegwa angemegwa tu
Kumbe binti kumegwa ni hadi atake mwenyewe!!Asante sana kwa kunitoa gizani!!
Ila kama hofu yako ni kumegewa hata angeenda chuo kingine kama mwenyewe akiamua kumegwa angemegwa tu
Hofu ni kutmbewa? Hata angeenda konventini kama ni wa kuliwa ataliwa tu relax
askari anaolewa baada ya miaka mitatu kazini, hongera mme wa afande
Usiwe na shaka.........kugongewa ni jambo lisilokwepeka kwa ninachokijua nayaliyonikuta......hata kama utamuoa ila lazima watagonga tuu hata mpeane maagano.......mi nilimpeleka chuo kimooja cha maswala yakijeshi....nikimlioia ada mwenyewe na niligongewa vizuri kabisa......na tuna ndoa ya kanisani.
Usiwe na shaka.........kugongewa ni jambo lisilokwepeka kwa ninachokijua nayaliyonikuta......hata kama utamuoa ila lazima watagonga tuu hata mpeane maagano.......mi nilimpeleka chuo kimooja cha maswala yakijeshi....nikimlioia ada mwenyewe na niligongewa vizuri kabisa......na tuna ndoa ya kanisani.
brother nikupe hongera kwani huko hakuna muda wa kuwaza mapenzi muda wote ni kazi tuu.pia ukienda kumtembelea unaweza kumsahau mpenzi wako vumilia tu ni wako huyo.
Hapo kaka.........sema na moyi wako......mi ningepewa nafasi ya kusahihisha nilipokosea.....kamwe usioe mwanamke kisha umpeleke shule/chuo.....lazima watagalagaza tu trust me.......kama unamzimia mbaya vumilia ila usijidanganye...ombaga asipste na mimba......na kama kiuchumi uko njema so sweat....ila kama na pesa ndo lofa mwenzangu....anza upya jomba....kwanza kitendo cha kukusaliti kashakuonyesha kwenye dili mlilopanga.....akiombwa utamu na boss wake atakataeje...nangekuwa anakupenda angekusikia na angeachana na huo mpango..
Kunauma kuliko msiba, yani hiki kiutamu cha vanilla hiki mmmmhhhhKutmbewa kunauma sana!!
MWANDENDEULE hapa town nikiamka saa kum na moja nawakuta barabani wanapiga mchakamchaka na kuimna nyimbo kama hawana akili nzuri!!! Kwa wanavyodau kuamka ni saa nane usiku saa tisa tizi inaanza duuuuuhh yan nawaoneaga huruma!!! Kuna mmoja nilimuona anaachwa nyuma kila siku sijui ndo demu wako????? Kwa kifupi akimaliza jiandae kushika adabu...maana ukileta ujinga utakuta unapigwa makofi na virungu mbele za watoto!!
Nadhani wewe ndiye mwenye matatizo. Kwa mantiki hiyo hakupendi tena, jichanganye bro kwani anadhani umaskini wao utamfanya mtumwa wako. Ameamua kujinasuaOf course kumsomesha mke ni hatari sana nimejionea jamaa zangu watatu wakizimia baada ya kusalitiwa na wapenzi/wake wao pindi wawapo vyuoni na kisha kuolewa na njemba zingine.
Mimi nilifikia hatua ya kumtafutia chuo akasome baada ya kuona kwao imeshindikana kumlipia karo ila sasa ndo hivyo tena kaaga anaenda kwa shangaz mwanza kumbe mtu kaenda Moshi CCP nimeumia sana baada ya kunitaarifu leo usiku.
MNDENDEULE,hata usihofu,ccp hakuna tabu yyt,kama demu wako anajiheshimu hakuna wa kumgusa labda apende mwenyewe hakuna wa kumlazimisha. Tena afande yyt akimlazimisha kuruta kusex naye kuruta akashitaki huyo afande anawez kushushwa cheo,kuhamishwa pale chuon, pia raia unaoa askari haina shida. Sheria ni miaka mitatu lakini wakishafika mikoani hata ndani ya mwaka wanaoa na kuolewa.kumegwa apende yeye ila hulazimishwi.