Mchumba wangu kabadilika sana simuelewi

Mchumba wangu kabadilika sana simuelewi

decent girl

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2015
Posts
302
Reaction score
139
Habari za humu wana MMU.

Mimi binafsi sijawahi kutoa thread yoyote hapa MMU ila Leo nimeona nije mnipe ushauri.

Mimi ni ke nina mchumba wangu nimedumu naye almost a year ila siku za hivi karibun nimekuwa simwelewi kabisa, kwa mfano nimeenda kwake lakiin haonyeshi furaha uwepo wangu, ninachomuuliza ndicho anachojibu, anaweza akakaa siku nzima bila kunisemesha mpaka nianze mimi kuongea.

Yaani hii hali inaniuma na kuninyima amani ndani ya moyo wangu na nikimuuliza nimemfanya nini kwanini kabadilika hivyo anasema hakuna kitu, mwanzoni tulikuwa tunashikiana simu ila safari hii yeye simu yake kaweka password kila kona.

Kwa kweli nashindwa kumuelewa yaani sina amani ya moyo.

Naomba ushauri nifanyeje maana mpaka hapa nimeshachoka maana moyo wangu si wa chuma.
 
mchunie kwa siku mbili tu zinatosha....utapata jibu
 
Habari wana jukwaa la MMU,

Mimi nina mpenzi nimedumu nae kwa takribani mwaka mmoja sasa, ila siku za hivi karibuni mwenzangu kabadilika sana kupita kawaida.

Majuzi nimeenda kwake lakini hakuonyesha kujali uwepo wangu na ukizingatia ni miezi miwili ilipita hatujaonana. lakini pia ndani amani hakuna unachomsemesha ndo anachojibu.

Anaweza akakaa kimya siku nzima mpaka uanze wewe kuongea, yeye yuko busy na laptop na simu basi kiukweli nakosa amani ya moyo na nikimuuliza " what's wrong mbona umebadirika hivyo?" anajibu," Nothing".

Mwanzoni tulikuwa tukishikiana simu lakini yeye ya kwake ametia password kila kona.yaani mpaka najiuliza nitakaa maisha haya mpaka lini nakosa amani ya moyo kabisa.

Naombeni ushauri wenu

Asanteni
 
pole dada, tatizo wanawake mkipenda ndo mnapenda mazima, chakufanya we piga kimya, wala usiwaze kuingia ktk mahusiano now maana bado haujakaa sawa, utaharibu kabisa
 
Habari wana jukwaa la MMU, mm Nina mpenzi nimedumu nae kwa takribani mwaka mmoja sasa, ila siku za hivi karibuni mwenzangu kabadilika sana kupita kawaida, majuzi nimeenda kwake lakn hakuonyesha kujali uwepo wangu na ukizingatia ni miezi miwili ilipita hatujaonana. lakn pia ndani aman hakuna unachomsemesha ndo anachojibu anaweza akakaa kimya siku nzima mpaka uanze ww kuongea, yeye yuko busy na laptop na simu basii.
kiukweli nakosa amani ya moyo na nikimuuliza " what's wrong mbona umebadirika hivyo?" anajibu," Nothing"..Mwanzoni tulikuwa tukishikiana simu lakin yeye ya kwake ametia password kila kona.yaani mpaka najiuliza nitakaa maisha haya mpaka lini nakosa amani ya moyo kabisa.
Naombeni ushauri wenu..Asanten

Ehuuuuu mapenzi utumwa
 
Polee mumy huyo tiyari kesha pata kiburudisho kipya. Shukuru Mung toa sadaka kanisan omba Mungu akupe aman anza maisha mapyaa. Mungu no mwaminifu utamsahau na life itasonga mbelee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom