Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 13,992
- 31,695
Sijaelewa mkuu fafanua zaidiKwenda kubandua papuch bila kuomba
Kwa msiba wake mkuu
Sijaelewa mkuu fafanua zaidiKwenda kubandua papuch bila kuomba
Kwa msiba wake mkuu
Surprise anayoiongelea yeye ni kumshutukiza hawala yake akitokea singida hawala yake akiwa ifakala bila taarifa kuwa nakuja kupapuchiSijaelewa mkuu fafanua zaidi
Hivi mbona suprise zipo za aina nyingi sidhani kwamba kila anaye suprise anataka kugegeda.Unataka kuniambia hata ww ungependa hiyo surprise ya kugegedwa bila kuolewa muda wote huo
Mbona ss wenye wake zetu hatuna shida unaingia muda wowote unaotaka
Akikuuliza mbona hujanijulisha na tumekula tumemaliza
Unamkumbatia kwanza unampa pole unafungua begi unampa chips kuku balaa lake anasahau hata kama alikuwa anakuuliza umekula
Unapewa kila kitu without shida
Mbona unamsemea aisee!Surprise anayoiongelea yeye ni kumshutukiza hawala yake akitokea singida hawala yake akiwa ifakala bila taarifa kuwa nakuja kupapuchi
Umeelewa ujumbe wake?Hivi mbona suprise zipo za aina nyingi sidhani kwamba kila anaye suprise anataka kugegeda.
Mh! hapo kengele ya hatari imeshaanza kulia hivyo chukua hatua mapema vinginevyo utakuja hapa na lalamiko lingine, Oooo... kaniambukiza gonjwa la ngono .........blabla.........Nimeanzisha hii thread maksudi coz kwa kweli mchumba wangu ananinyima raha sana maana yeye yupo anaishi ifakara kikazi then mimi nipo Singida kikazi but kitu cha kushangaza hataki niende kwake bila kumtaarifu mapema,
Nikienda bila taarifa huwa ni ugomvi mkubwa sana inafikia stage hatuongeleshani kabisa yan nataman kurudi nilikotoka wakati huohuo, wakuu hivi na nyie mnafanyiwa hivi na wachumba zenu? Naomba ushauri
Hakuna mambo ya kukubali hapa, lazima kieleweke kwamba kengele ya hatari imeshalia, sasa sijui jamaa anasubiri hadi aungue moto? kweli watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.kama umependa kubali yaishe, mtaarifu tu!!
mkichoka kulima mtatupa majembe wenyewe
Kama huna cha kuongea pita hv, unalaeta masihara kwa inshu za mcng.boya kweliSiku hizi mmeharibika akili sana
Badirisha usituambie mchumba sema hawala yako
Unatuletea upupu tu wakati mnatongozana tulikuwepo ?
Au unataka tu uwajue na wengine ikoje
We ndo bonge la zigo boya mkubwa tangu lin mchumba akabanjuliwaKama huna cha kuongea pita hv, unalaeta masihara kwa inshu za mcng.boya kweli
Simsemei nafafanua kila alichoandika mtoa postMbona unamsemea aisee!
ha ha haaaaa nimejikuta tu nacheka mwenyewe kwa comment yako wallahKwanini ufanye surprise
Labda hana mboga.hajapiga deki hajaosha vyombo na ubusy wa wiki. Au alikua na ratiba zake ukija mgeni lazima hizo ratiba zivuruguke.
Na kwanini unatembea njia nzima bila kumwambia mwenzio labda anataka kukufanyia maombi ukiwa njia si unajua kuna ajari nyingi njiani
Sikiliza kile mpnz wako ana penda kufanyiwa siyo kila unalo sikia huko nje kua ni njia ya kuonyesha upendo basi lazima ulijaribu mengine yanaharibu mahusiano
Anza kutoa taarifa kuanzia sasa
Inaonekana kwenye Suprise zako huwa unaenda mikono mitupu ndio maana ugomvi unatokea,hebu badili style mbaba,Usiwe DUME SURUALINimeanzisha hii thread maksudi coz kwa kweli mchumba wangu ananinyima raha sana maana yeye yupo anaishi Ifakara kikazi then mimi nipo Singida kikazi but kitu cha kushangaza hataki niende kwake bila kumtaarifu mapema.
Nikienda bila taarifa huwa ni ugomvi mkubwa sana inafikia stage hatuongeleshani kabisa yani natamani kurudi nilikotoka wakati huohuo.
Wakuu hivi na nyie mnafanyiwa hivi na wachumba zenu?
Naomba ushauri
Kwanini ufanye surprise
Labda hana mboga.hajapiga deki hajaosha vyombo na ubusy wa wiki. Au alikua na ratiba zake ukija mgeni lazima hizo ratiba zivuruguke.
Na kwanini unatembea njia nzima bila kumwambia mwenzio labda anataka kukufanyia maombi ukiwa njia si unajua kuna ajari nyingi njiani
Sikiliza kile mpnz wako ana penda kufanyiwa siyo kila unalo sikia huko nje kua ni njia ya kuonyesha upendo basi lazima ulijaribu mengine yanaharibu mahusiano
Anza kutoa taarifa kuanzia sasa