Designer_3434
JF-Expert Member
- Dec 4, 2015
- 4,727
- 3,684
Mwanamke kumuelewa ni ngumu sana.
Kabisa asee.Kiukwel mtu asiependa suprise anayake nilikuw katika situation kama yako anasema hapend surprise na kwel siku moja surprise yangu nilikutana na surprise pia nikawakuta chumban hata milango hawajafunga ndio nikaelewa kwann jamaa hakuwa anataka suprise . hayo mambo sijui kukuta room kichafu mboga hamna khaaa labda kama ndio mnaanza mapenz ila wapenz mliozoeana hayo mambo ya kawaida tu hata mm naweza kuwa nina hela tukanunua mboga.
Ni visababu tu ila mara nying watu wa hiv sio waaminifu
Bonge la ushauri. Mimi nilivyooa babu yangu aliniambia kuwa unaporudi safari yoyote utoe taarifa na kama ikitokea hujatoa taarifa basi ukifika stendi mtume hata kijana apeleke mizigo wewe upitie hata baa au kilabuni masaa mawili matatu ndio uende nyumbaniKwanini ufanye surprise
Labda hana mboga.hajapiga deki hajaosha vyombo na ubusy wa wiki. Au alikua na ratiba zake ukija mgeni lazima hizo ratiba zivuruguke.
Na kwanini unatembea njia nzima bila kumwambia mwenzio labda anataka kukufanyia maombi ukiwa njia si unajua kuna ajari nyingi njiani
Sikiliza kile mpnz wako ana penda kufanyiwa siyo kila unalo sikia huko nje kua ni njia ya kuonyesha upendo basi lazima ulijaribu mengine yanaharibu mahusiano
Anza kutoa taarifa kuanzia sasa
Umesema ni mchumba? umetoa mahari?In short hatak niende kwke kbxa masharti yanakuwaga mengi xna.
Mkuu hapo kuna kitu kinaendelea nyuma ya pazia so anajua kuna kitu huwa anafanya ww ukiwa haupo sasa ukimshyukiza unaweza kujua anayoyafanya ndio maana ananuna. Maisha ya kuzuga mabaya sana wengine huwa wachafu yaan ukishtukiza unakuta room iko chafu/ rough ndio maana anataka taarifa mapema ajiandae kuweka kila kitu sawa pamoja na michepuko kama IPO aipe ban ya mudaNimeanzisha hii thread maksudi coz kwa kweli mchumba wangu ananinyima raha sana maana yeye yupo anaishi ifakara kikazi then mimi nipo Singida kikazi but kitu cha kushangaza hataki niende kwake bila kumtaarifu mapema,
Nikienda bila taarifa huwa ni ugomvi mkubwa sana inafikia stage hatuongeleshani kabisa yan nataman kurudi nilikotoka wakati huohuo, wakuu hivi na nyie mnafanyiwa hivi na wachumba zenu? Naomba ushauri
wapo wengi ndiyo maanaAna yake huyoo! Mwanamke gani hapendi suprise?
sio lazma..we muulize tu atakwambiaOk, thnx mkuu
Hujataka tu kumuelewa mwanamke.Mwanamke kumuelewa ni ngumu sana.
Unalipa kodi ya hiyo nyumba if i may ask please? umemlipia mahari labda?Nimeanzisha hii thread maksudi coz kwa kweli mchumba wangu ananinyima raha sana maana yeye yupo anaishi ifakara kikazi then mimi nipo Singida kikazi but kitu cha kushangaza hataki niende kwake bila kumtaarifu mapema,
Nikienda bila taarifa huwa ni ugomvi mkubwa sana inafikia stage hatuongeleshani kabisa yan nataman kurudi nilikotoka wakati huohuo, wakuu hivi na nyie mnafanyiwa hivi na wachumba zenu? Naomba ushauri
Siku hizi mmeharibika akili sanaNimeanzisha hii thread maksudi coz kwa kweli mchumba wangu ananinyima raha sana maana yeye yupo anaishi ifakara kikazi then mimi nipo Singida kikazi but kitu cha kushangaza hataki niende kwake bila kumtaarifu mapema,
Nikienda bila taarifa huwa ni ugomvi mkubwa sana inafikia stage hatuongeleshani kabisa yan nataman kurudi nilikotoka wakati huohuo, wakuu hivi na nyie mnafanyiwa hivi na wachumba zenu? Naomba ushauri
Umemchezea muda mrefu bila kumuoa mpaka unaenda bila taarifa we kicheche kweliIn short hatak niende kwke kbxa masharti yanakuwaga mengi xna.
Unataka kuniambia hata ww ungependa hiyo surprise ya kugegedwa bila kuolewa muda wote huoAna yake huyoo! Mwanamke gani hapendi suprise?
Yeye mwanaume ndo haelewekiMwanamke kumuelewa ni ngumu sana.
Kwenda kubandua papuch bila kuombaSurprise ni nini wakuu
Huyo sio mchumba wako ni mchumba wenu bora nusu shari kuliko shari kamili kaa mguu sawa lolote laweza kutokea kwanza una umri gani mkuu hadi hilo hulijui?????????Nimeanzisha hii thread maksudi coz kwa kweli mchumba wangu ananinyima raha sana maana yeye yupo anaishi ifakara kikazi then mimi nipo Singida kikazi but kitu cha kushangaza hataki niende kwake bila kumtaarifu mapema,
Nikienda bila taarifa huwa ni ugomvi mkubwa sana inafikia stage hatuongeleshani kabisa yan nataman kurudi nilikotoka wakati huohuo, wakuu hivi na nyie mnafanyiwa hivi na wachumba zenu? Naomba ushauri