mbalizi1
JF-Expert Member
- Dec 16, 2015
- 19,042
- 37,242
Orion a.k.a Tabora HotelHilo kina la hotel limenikumbusha wimbo flani hivii, wacha nikauanzishie uzi kwa Dadii wa Kasie.
Chapana miti hadi kila mmoja anabaki anasinzia maniner
Orion a.k.a Tabora HotelHilo kina la hotel limenikumbusha wimbo flani hivii, wacha nikauanzishie uzi kwa Dadii wa Kasie.
Orion a.k.a Tabora Hotel
Chapana miti hadi kila mmoja anabaki anasinzia maniner
Orion a.k.a Tabora Hotel
Chapana miti hadi kila mmoja anabaki anasinzia maniner
Nashangaa kama kuna watu hawapendi kunyonywa matiti wanapenda kunyonywa niniNini sasa.
wewe kabinti yote hayo umeyajua wapi..??Achemshe tangawizi achanganye na asali kijiko 1..Mara moja kwa Siku
Au
Achemshe maji kikombe1 aweke uwatu kijiko1 ..akoroge anywe
Duh uyo mwanamke kila kitu hatumiiHatumii mkuu
Soma ulewe naweWewe kila mara rafiki rafiki... mmmmmmh
Duu siamini kama eti wewe Mwifwa unaomba ushauri
Soma ulewe nawe
Aseeee!penye miti hamna wajenzi
Mawasiliano ni kila kitu ...wakati mwingine hapendi sababu ya uoga .Yaani yeye mwenyewe hajui aguswe wapi afurahi sasa ni jukumu lenu kutengeneza bondi
Pia kuwa wazi kumuonyesha kuwa hutosheki na haupo tayari kuuza mechi
Mwanzo atafanya kwa kukuridhisha ila baadae atakutafuta ww sasa
Wakuu heshima kwenu, bila shaka weekend inaenda vyema kabisa.
Husika na kichwa cha uzi. Mchumba wangu nipo naye kwenye mahusiano kwa muda sasa na maandalizi ya ndoa yanaenda vyema kabisa. Nashukuru kwa hatua hiyo.
Mahusiano yetu yamekuwa ni ya kushibana, yamejaa upendo, furaha na amani lakini kama ilivyo kawaida mapungufu huwa hayakosekani kuhusu jambo husika.
Suala la mapenzi/tendo la ndoa, mwenzangu hana hisia nalo kabisa na halitilii umuhimu. Hili jambo linaniumiza kichwa sana na kupelekea kukosa usingizi usiku ukizingatia nina mpenda sana. Nimejaribu kumshawishi sana japo aoneshe hisia lakini imeshindikana, sijui tatizo ni nini..na sijaweza kulibaini hadi sasa.
Wakuu nifanyeje ili niweze kurudisha furaha ya mahusiano haya.Upendo bila mzizi wake wa tendo huo unakuwa sio upendo tena. nisaidieni nirejeshe upendo. Kama kuna aina yoyote ya dawa inayoweza kuboost hili tatizo nisaidieni niweze kumrejeshe mchumba hisia na hamu ya tendo.
Karibuni wana JF tuokoe MV Magogoni inazama huku, maana huu mwendo si rafiki kabisa inaweza kuzama muda wowote. Tumsaidie rafiki yangu aisee.
๐๐๐๐๐๐Rafiki yako ama wewe ndo mhusika mkuu, anyway jaribu kumshirikisha uone kama atakuwa nae anajutia kuwa hivyo otherwise hizo ndo wanasemaga Kipenda roho imegoma.
๐๐๐๐๐๐ hio tabia ndio ilinibadilisha nikawa fisiHii huwa inatoke sana kwenye mahusiano ambayo mwanaume ni mwaminifu sana utakuta mwanamke anamnyima mwenza wake huku akiamini jamaa yake ni mwaminifu hawezi chepuka..dawa ni moja tu its a safe approach and very compromised...kuwa tu busy na simu yako na wala usiombe mechi muda mrefu
ni mimi kabisaTendo la ndoa ni ngumu kwa sababu amjafunga ndoa lakini mwambie muwe mnafanya mapenzi kama sisi mabaharia lazima hakupe kila wakati..Mkuu usije ukawa kama yule aliye chukua demu mpaka kwake wakati ana mla demu akasema nipeleke uwani jamaa akamfungulia mlango mpaka chooni dem alivyo ludi aka anza game dem akasema tena nipeleke uwani jamaa akasema utakuwa una mkojo mwingi sana dem akasema sija maanisha chooni dushe peleka upande wa pili jamaa akasema siungesema mapema...
iko nongooo ๐๐๐,,, hizi ndio faida za kutulia na mama kwa mjengo, angeyajuaje kama anaoa mke mchoyo wa uchi!? Ndoa hapo ni kams hakuna, mpango wa kupiga shineboi ni lazima wala sio ombi.Subiri muoane,tendo la ndoa wakati mko kwenye uchumba wapi na wapi!halafu unalalamika kama vile ni halali yako...