mchumba wangu ataongeza mke wa pili

mchumba wangu ataongeza mke wa pili

Madam zero

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2013
Posts
221
Reaction score
18
Naumia sana.wiki mbili zijazo ntafunga ndoa na mchumba wangu lakini leo ameniambia kua baada ya mwaka kuisha ataongeza mke wa pili yaani tuwe wawili mm na mke mwenzangu mbaya zaidi et tutaishi nyumba mmoja !!!!mimi nitakua mke mkubwa lakin yule mwenzangu atakae letwa atakua mke wa pili yaani roho inaniuma sana hata kama imani ya dini inaruhusu hivo mm nashindwa kukubaliana nae?naombeni mchango wetu hapa nipo na mawazo ya kuvunja huu uchumba na nikiangalia taratibu zote za ndoa zimefanyika je nifanye nn?nikatae au nikubali?maana hili swala ameniambia baada ya kuvaa pete ya uchumba na family zote wanajua?je niwahi kwa ostazi atakae funga ndo kutoa taarifa au nifanye nn?uke wenza siwezi
 
Naumia sana.wiki mbili zijazo ntafunga ndoa na mchumba wangu lakini leo ameniambia kua baada ya mwaka kuisha ataongeza mke wa pili yaani tuwe wawili mm na mke mwenzangu mbaya zaidi et tutaishi nyumba mmoja !!!!mimi nitakua mke mkubwa lakin yule mwenzangu atakae letwa atakua mke wa pili yaani roho inaniuma sana hata kama imani ya dini inaruhusu hivo mm nashindwa kukubaliana nae?naombeni mchango wetu hapa nipo na mawazo ya kuvunja huu uchumba na nikiangalia taratibu zote za ndoa zimefanyika je nifanye nn?nikatae au nikubali?maana hili swala ameniambia baada ya kuvaa pete ya uchumba na family zote wanajua?je niwahi kwa ostazi atakae funga ndo kutoa taarifa au nifanye nn?uke wenza siwezi

nimependa jamaa alivyokwambia ukweli kabla hujaingia ndoani, halafu nakushangaa eti hujui cha kufanya wakati na wewe umekuwa wazi hapo kwa red
 
Naumia sana.wiki mbili zijazo ntafunga ndoa na mchumba wangu lakini leo ameniambia kua baada ya mwaka kuisha ataongeza mke wa pili yaani tuwe wawili mm na mke mwenzangu mbaya zaidi et tutaishi nyumba mmoja !!!!mimi nitakua mke mkubwa lakin yule mwenzangu atakae letwa atakua mke wa pili yaani roho inaniuma sana hata kama imani ya dini inaruhusu hivo mm nashindwa kukubaliana nae?naombeni mchango wetu hapa nipo na mawazo ya kuvunja huu uchumba na nikiangalia taratibu zote za ndoa zimefanyika je nifanye nn?nikatae au nikubali?maana hili swala ameniambia baada ya kuvaa pete ya uchumba na family zote wanajua?je niwahi kwa ostazi atakae funga ndo kutoa taarifa au nifanye nn?uke wenza siwezi

Sa unataka unakimbia nini dada, wakati umesema Imani yenu inaruhusu!!Tulia hapo hapo ukikimbia basi WE SI MUUMINI WA IMANI YAKO..........JF rahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa:noidea:
 
Naumia sana.wiki mbili zijazo ntafunga ndoa na mchumba wangu lakini leo ameniambia kua baada ya mwaka kuisha ataongeza mke wa pili yaani tuwe wawili mm na mke mwenzangu mbaya zaidi et tutaishi nyumba mmoja !!!!mimi nitakua mke mkubwa lakin yule mwenzangu atakae letwa atakua mke wa pili yaani roho inaniuma sana hata kama imani ya dini inaruhusu hivo mm nashindwa kukubaliana nae?naombeni mchango wetu hapa nipo na mawazo ya kuvunja huu uchumba na nikiangalia taratibu zote za ndoa zimefanyika je nifanye nn?nikatae au nikubali?maana hili swala ameniambia baada ya kuvaa pete ya uchumba na family zote wanajua?je niwahi kwa ostazi atakae funga ndo kutoa taarifa au nifanye nn?uke wenza siwezi

Dada umelazimishwa kuolewa na huyo?

Wanaume wameisha?

Dini ni hiyo tuu?

Kama hukubaliani na mambo ya dini yako inamaana unaiasi dini hiyo,si uachane nayo tu?

Kuendelea kwenye dini usiyokubaliana nayo kwenye mambo nyeti kama hayo ni kujiumiza na kujidanganya!!!!!!!!
 
Mbona amejihami mapema hivi, labda yupo anaempenda zaidi yako.basi nenda kwa OSTAZI.
 
ukuje nikupeleke kwa mubabu unamupigwaga munyungu na kumuzika miakili inamusahau huyo kuwuwa tena
 
nimependa jamaa alivyokwambia ukweli kabla hujaingia ndoani, halafu nakushangaa eti hujui cha kufanya wakati na wewe umekuwa wazi hapo kwa red

Tatizo nampenda
 
Sa unataka unakimbia nini dada, wakati umesema Imani yenu inaruhusu!!Tulia hapo hapo ukikimbia basi WE SI MUUMINI WA IMANI YAKO..........JF rahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa:noidea:

M christian yy iman yake ndio inamruhusu
 
Dada umelazimishwa kuolewa na huyo?

Wanaume wameisha?

Dini ni hiyo tuu?

Kama hukubaliani na mambo ya dini yako inamaana unaiasi dini hiyo,si uachane nayo tu?

Kuendelea kwenye dini usiyokubaliana nayo kwenye mambo nyeti kama hayo ni kujiumiza na kujidanganya!!!!!!!!

Tatzo nampenda nikiachana nae nitaumia sana pia wanaume wapo lakin nitaumia
 
Kwani lazima kuolewa naye? Heri nusu shari kuliko shari kamili!
 
M christian yy iman yake ndio inamruhusu

Khaa! Mi nilijua na wewe Muislam!
Ok! Usijiumize dada yangu, bila shaka mtafunga ndoa ya serikali, usijari, hatakama yy ni Muislamu, kule ni lazima iandikwe kama itakua ~POLYGAMY or MONOGAMY~ na ww ni lazima usain au ukatae kusain, ukikataa kusain mambo mawili yanahusika, ndoa isifungwe au ifungwe unavyotaka wewe! Ikifungwa unavyotaka wewe uko salama, isipofungwa vitu viwili vinahusika, uzizuie hisia zako za kumpenda au uumie kwa kukosa penzi lake, ukizuia hisia zako ukosalama, ukiumia kwa kukosa penzi lake vitu viwili vinahusika, ujinyonge au ukubali uke wenza, ukikubali uke wenza uko salama, ukijinyonga IMEKULA KWAKO.....!
Kila la heri.
 
Kama atamuoa kihalali tatizo nini ? Uyo anaoa kwa kigezo cha dini au mila? Maana kama dini kwanza angekusilimisha,
 
Back
Top Bottom