Wana JF naombeni msada wenu nifanye nini,
Mchumba wangu niliyempenda sana, ghafla kakata mawasiliano na mimi nikimpigia simu hapokei sms hajibu na hakuna chochote kibaya nilichomfanyia, kibaya zaidi anafahamika kwenye familia yangu, ofisini kwangu mpaka marafiki wote wanajua nilikuwa na mahusiana nae.
Sasa najiuliza ntawambia nini hasa familia make tayari nshamtambulisha nahisi ntaonekana sijatulia hasa kwa wazazi wangu.
Huyu jamaa alifanya nikarisk kazi yangu nikawa naaga naenda kumuona mdogo wangu kumbe naenda Arusha kumuuona yeye by that time alikuwa anafanya masters yake pale Nelson Mandela.
Kwa sasa kamaliza yupo Dar sina mawasiliano nae anachofanya sijui na hata ikitokea nimepiga simu akipokea ananijibu kwa hasira as if tumegombana.
Jamani naumia sana na nilimpenda kwa dhati na yeye analijua lakini sjui ni shetani gani kampata.
Naombeni ushauri wenu jamani.
Mchumba wangu niliyempenda sana, ghafla kakata mawasiliano na mimi nikimpigia simu hapokei sms hajibu na hakuna chochote kibaya nilichomfanyia, kibaya zaidi anafahamika kwenye familia yangu, ofisini kwangu mpaka marafiki wote wanajua nilikuwa na mahusiana nae.
Sasa najiuliza ntawambia nini hasa familia make tayari nshamtambulisha nahisi ntaonekana sijatulia hasa kwa wazazi wangu.
Huyu jamaa alifanya nikarisk kazi yangu nikawa naaga naenda kumuona mdogo wangu kumbe naenda Arusha kumuuona yeye by that time alikuwa anafanya masters yake pale Nelson Mandela.
Kwa sasa kamaliza yupo Dar sina mawasiliano nae anachofanya sijui na hata ikitokea nimepiga simu akipokea ananijibu kwa hasira as if tumegombana.
Jamani naumia sana na nilimpenda kwa dhati na yeye analijua lakini sjui ni shetani gani kampata.
Naombeni ushauri wenu jamani.