Mchumba wangu ameenda CCP Moshi

Jomba hata wewe bado ni maskini.. mshahara wako wa milioni 1 na ushee hauweze kumwachisha mtu kazi. Uwezekano wa huyo manzi kuwa wako upo endapo utasubiri ila kama ni mimi ningeachana naye kwa sababu akimaliza mafunzo anaweza pangiwa kazi huko mkoa wa mbali ikawa majanga.
 
Imeisha hiyo
Mwanamke aliegoma kukusikiliza, tambua wewe ni option kwake kwa tafsiri nyingine huna upekee wowote kakwe, ameamua kuamini katika kazi kuliko kuamini katika wewe.

Kwakua imekuuma kiasi hicho basi tambua wewe juu yake Huna option maana kama ungekua na option isingekuchanganya.

Ushauri wa bure:

Kwa kuwa unaenda ulaya kusoma, mfute katika kumbukumbu zako, ikiwezekana badili line apotelee huko, achana nae kabisa na ukishafika ulaya komaa na mishe(kule hupati k kirahisi)

Ukirudi bongo na vi dollars na pauni, jiwekeze kwenye bizness na harakati za mjini.

Nakuhakikishia ndanii ya miaka 2 itakuja pisi kali sana yenye viwango vyoote kumzidi hata huyo polisi, utainjoy maisha na kujiuliza kipindi kile unajifungia ndani unalia kisa demu kakukataa indirect(aliposema sijui nikirudi nikakuta umeanzisha mahusiano haina shida ilibidi hapo hapo udai risiti hiyo ndio talaka yako hiyo).

Polisi utakua unatomba mara moja moja, tena yeye ndio atakua anafosi na niamini wewe ndio utakua unamkwepa
 
Ninao wapwa zangu wawili,mmoja ni police tayari na kaoana na police mwenzie na nionavyo huenda ndoa jahazi linaelekea kuzama.
Ukiachana na huyo mpwa wangu kiukweli ktk kuishi kwangu na huu umri wa Mzee kijana sijawahi ona police wa kike ambaye ameolewa.
 
Kakudanganya
In take yao hawaendi ccp bali wanaenda kilele pori kule bomang'ombe.
😂😂😂watu sjui mnastress za maisha ,amepangwa ccp moshi ,hizo ni kambi ila wapo under CCP na nimeconfirm jina lake kwenye PDF
 
hamna
Hamna point hapa ,umeongea ujinga mkuu ,kumjali mtu ni kuwa kipofu? siwapo wengi nachagua tu akizingua ,ila hajazingua amekuwa mkwel
 
umeongea vyema ,ndo maana nimeona sio shida aende apambanie maisha yake ,nitasubiria ni miez tisa tu akibadilika nina move on
 
ahsante sana mkuu ,nashukuru kwa maneno yako ,yes nipo nae serious ntamsubiria
 
Utaratibu wa kumtembelea si umuulize yeye mwenyewe? Au huna namba yake? Au unataka kumsuprise?
 
Mimi nilipoteza mpenzi wangu alienda polisi ni hivi wakifika kule wanaanza mafunzo huwa ni miezi kumi hadi mwaka yategemea na input ....

Sasa kwenye koz ya mwaka mmoja au miezi 10 huwa kuna mengi sana kama anakupenda anatakuchukua simu za wakufunzi na kukuanza kukutafuta kwa ajili ya mahitaji na nini hapo mara nyingi baada six week ...kama umepita jeshini unajua six week zikoje

Sasa kama mzuri sana ataanza kutongozwa sana maafande wakufunzi lakini pia wanafunzi wenzie watamsumbua sana kumbuka muda huo maisha ya mtaani anaanza kusahau mara nyingi kwenye combania yake atapata company labda ya kiume au afande.....so ni yeye tu kuwa muanifu...

Baaada ya mieze mitano kama kweli anakupenda ataendelea kukutafuta sasa baada ya hapo mwisho wa koz huwa kuna kupangiwa pia hapa maafande huwachukulia point ukinikubali nitafanya upangiwe dar au dodoma yote hayo vishawishi ....

Akitoka mara nyingi mtu pekee anamuona wa maana ni askari mwenye cheo cha juu au mwanajeshi au mtu yeyote kwenye vyombo vya usalama mara nyingi wanakuwa na ile upya kazini utashangaa hakutaki sababu muda huwa wanajiona sio raia so watu wa maana ni askari wa vyeo vya juuu .....

Sasa basi utashangaa karudi kabadilika ujue kule kashapata askari mwenzie basi na ule upya wa kazi hata uongee nini hakuelewi ....anakuona raia tu ...


Baada ya kuzoea kazi utashangaa wanaaanza kupenda raia wa kaWaida na sio polisi wenzao ndo ushangaa anaaanza kukutafuta tafuta baada ya kujua upolisi ni kazi ya kawaida sana


Naongea from experience kama mtoto wa askari na pia niliyepoteza baby aliyeenda ccp moshi na baadae akata kurudi.... kama ni mzuri sana jiandae ....kama mzuri wa kawaida umepona ...... jeshini dem mzuri hugombaniwa huitwa min'gao sasa akiwa tu mnga'ao umeisha bro
 
Utaratibu wa kumtembelea si umuulize yeye mwenyewe? Au huna namba yake? Au unataka kumsuprise?
Hawaruhusiwi simu ,mpaka anitafute ni mpaka apazoeee sana aombe simu ya mawasiliano ambapo ni after mwez mmoja akipazoea .
 
ni
ni mzuri ila anajielewa ,ahsante wacha tuone itakavyokuwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…