Mchumba wangu ameamua tuachane

I just like your advice.

I appreciate you Dear Loveissweet.
 
U gotta be naive to believe that we live in a perfect world,bad things happen to good people. And please don't get me wrong coz by no means do I support dead beat dads.
 
Pole sana... Kuna mdada anafanya kazi shirika moja la hifadhi ya jamii Dar makao makuu.. nae anakisa kama chako cha kuachwa kwa style hiyo...
 
Pole sana... Kuna mdada anafanya kazi shirika moja la hifadhi ya jamii Dar makao makuu.. nae anakisa kama chako cha kuachwa kwa style hiyo...
Mkuu...
Ebu fanya utaratibu uwakutanishe.
I hope itakua boonge la couple
 
Pole sana ndugu yangu,hilo kwanza ni fundisho kwako,pili tumia hasira kutafuta yalishanikuta yeye alikuwa mtoto wa tajiri mimi nilikuwa machinga,lakini baada ya miaka kama kumi,tulikutana anatia huruma,baba yake alishakufa,bank wakataifisha mali,halafu mimi niko freshi na nimeowa,utakuja furahi tu siku moja chozi lako haliwezi kwenda bure
 
ameshapata muhasibu mwenzake. achana nae. ingawa mapenzi hayachagui, kwa elimu yako ya form four, kazi yako umachinga, ulikosea sana kuoa mke mwenye degree. kwa ufupi amekuona wewe ni mzigo maana mwanamke anataka kutunzwa na sio kutunza
 
Nimekufuatilia sana huu mkenge unawakuta wengi sana kuzaa sio tija , ELIMU yako na yake ni tofauti, UTEGEMEZI wako pia ni TATIZO , and FIMBO ya mbali mara nyingi haiui NYOKA .! fanya yako tu.
 
Pole kwa yaliyokukuta. Wewe siyo wa kwanza na hautakuwa wa mwisho kuachwa.

Kubali yaliyotokea japokuwa ni ngumu sana. Kwa sasa hivi kama vile upo kwenye hatua ya mwanzo kabisa ya kutokuamini yaliyotokea.

Hiyo ni kawaida kabisa hasa kama ulimpenda kwa dhati huyo mwanamke. Lakini baadae utaingia hatua ya kukubali yaliyotokea. Hapo utaumia sana tuu ila usikwepe au kujaribu kuyafukia hayo maumivu.

Kama wewe ni mtu wa kulia, basi lia sana. Hata siku moja usipingane na jinsi unavyojifeel. Let it out.

Ukishakubali yaliyotokea, then jiuguze na mwisho songa mbele. Hii ni ngumu sana lakini nakuhakikishia baada ya muda (inaweza kuwa miezi kadhaa au miaka miaka miwili) utakuja kuangalia nyuma na kujikuta unajiuliza, hivi nilikuwa nalia nini? Hivi nilimpendea nini yule mwanamke?

Kwa sasa usiwasiliane na huyo mwanamke tena isipokuwa kwa masuala ya mtoto tuu. Ukiwasiliana nae, ongea nae kwa kifupi sana juu ya mtoto tuu. Akitaka kukuongeleshea masuala mengine mwambie uko bize.

Pili usidate mwanamke mwingine kwa nia ya kuwa na mahusiano nae mpaka pale utakapokuwa umejiuguza na kusonga mbele. Muda huu zingatia zaidi kwenye biashara zako, kula vizuri, vaa fresh, tafuta marafiki zako wa zamani, nk. Huu ndo wakati wako wa kuwa wewe na kufanya mambo yako free bila kumhusisha yeye.

Usilewe pombe au kutumia madawa kuondoa mawazo. Pia usimchukie wala usimsumbue kwa msg au simu. Huwa wanasema njia pekee ya kumwonyesha unayempenda kuwa unampenda ni kumwacha aende anakotaka kwenda.

Tatizo letu kwa jamii yetu hasa kwa wanaume ni kuwa tunajua kuanzisha mahusiano lakini wengi wetu hatujui nini cha kufanya baada ya kutemwa. Tunaishia kucheza karata ya victim, wakati kwenye mahusiano, it takes two to tango.

Kwa hiyo, kubali kuwa kuna makosa ulifanya kwenye mahusiano na huyo mwanamke. Jifunze kutoka kwenye hayo makosa na mwisho utakuwa a better man.
 
Mkuu makosa yapi unavyoona nilifanya
 
Is this a real story or something similar to metaphore? Kama ni real story kusema kweli it's so sad, better u are crying but ingekua mimi ni mazishi. Mbaya sana.
 
Mkuu makosa yapi unavyoona nilifanya

Sikuwa kwenye hayo mahusiano kwa hiyo siwezi kujua ulifanya makosa gani.

Hata hivyo, huwezi kudai wewe ni perfect. Huwezi kudai hukufanya kosa lolote.

Vingenevyo, ukija kuanzisha mahusiano na mwanamke mwingine utashangaa anasepa tena bila kujua sababu.

Kaa chini tafakari tokea muanze mahusiano yapi ulifanya vizuri na yapi ulifanya vibaya na kwa nini? Then, fikiria hayo uliyofanya vibaya utayasahihisha kivipi kwenye mahusiano yajayo.

Lakini kama ukiendelea kuhoji umefanya makosa gani hutajifunza na hutabadilika kuwa mtu mzuri zaidi.

Kumbuka mwanamke akiamua kukuacha haamui leo na kukuacha kesho. Sisemi kuwa nae hana makosa lakini kama nilivyosema mwanzoni kwenye mahusiano, it takes two to tango.

Kuna sababu ambazo zimemfanya akuache lakini kama wawanake wengine hatakwambia hizo sababu.
 
Dah...mbona hiyo bahati mkuu amekupa chance ya kumprove wrong..Ur gentlement mkuu Mungu amekuepusha na balaa mbele
 
Elimu yako ndio tatizo alikuwa na stress tu ndio maana alikukubali hivi sasa ni stress free anajichagulia level zake Fanya maisha yako Huyo sio wako
 
we ndo star kwenye movie. Mkeo jambazii.. kwa maana hiyo usiifanye movie ikose mashiko au utamu ..movie imetumika kama maisha.. songa mbelee tafuta majambazi wengine ..

Maisha ni kama riadha katika mashindano ya mbio ndefu malathoni ukikata tamaa unakaa pembeni wengine wanaendelea ..usikate tamaa endelea kukimbia

Kiufupi huyo mama yetu mdogo hakufai hatakama ukifanikiwa kumbembeleza akarudi atajiona mwanaume utaendeshwa ..utageuzwa zoba

Over
 
Hahahah kwa kweli nimecheka baada yakusoma si kwa nia mbaya ika imenifurahisha....we jamaaa unalenda vibaya sana f unmoiga mkwara mtu ambaye anaona ye ana options zingine...pole sana tafuta chako acha kujipa presure tumi akili z Kiume huna chako hapo...
 
Sasa mkuu, huyo ameushikilia uhai wako? Au wanawake wameisha? Kama ameamua hivyo,si uendelee na yako? Tafuta anaekupenda ufanye mengine,huyo hakupendi,full stop!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…