Yaani kwa sasa kupata mchumba natural ni wachache...Kama asipotumia mkorogo basi atatumia Creme za kuongeza makalio au Maziwa.. au mahips...Yaani wanawake wa mjini now majangaa...
Na hata ukimchukua wa kijijini, akija mjini nae atatamani apendeze kama wenzie.
Hata hao weupe hasa waarabu nao wanaongezea weupe...
CHEKI HAWA HAPA CHINI .....BEFORE & AFTER.....PILI ni dawa za kuongeza makalio na maziwa...Kariakoo zipo kibao nilipita juzi nikakuta moja ikabidi niipige picha tena bei rahisii 10,000 ili hata aliye wa hali ya chini anunue...Na nasikia wateja wengi ni wanafunzi wa Vyuo na Sekondary...
Kazi kwenu wanaume wa sasa mnakazi katika kuchagua Original na Feki..
Usishangae wewe mweupeee unaoa mke mweupeee unapata mtoto Mweusiiii...Kumbe kachukua weusi wa Baba au mama ktk mmoja wapo ametumai MKOROGO..
View attachment 162249View attachment 162250View attachment 162253View attachment 162253View attachment 162254View attachment 162255View attachment 162256