TATA PANYA
Member
- Jul 26, 2013
- 54
- 8
Nilikuwa masomoni na nilimuacha mpenzi wangu akiwa na uzuri wa asili (black beauty) lakini nilivyorudi mambo tofauti amekuwa mweupe ajabu, zaidi zaidi ukimvua nguo ndio shida, hata hamu ya kufanya naye sex inapotea kabisa,nimemweleza suala hilo ananiambia vitu ambavyo havieleweki eti mafuta yanamwathiri!
Hebu nipeni ushauri jamani maani siipendi hiyo hali, hata hamu ya kuwa naye sina kabisa!!
Hebu nipeni ushauri jamani maani siipendi hiyo hali, hata hamu ya kuwa naye sina kabisa!!