Mchumba wa ukweli huyu hapa

Mchumba wa ukweli huyu hapa

Mahari kiasi gani,una nyumba au umepanga? unagari gani? unafanya biashara gani? bank kuna kiasi gani? unatokea Tanzania mji gani? dini gani? mengine nabakisha?

Ntumie namba zako kwenye email yangu then nakupigia
 
mabalaa yashaanza tena!!
We ni mgegedaji tu kama umejipanga ndo kusema hadi sasa hivi huna hata mchumba?

sina matani kuhusu suala hili nitumie namba zako kwenye email yangu for more conversation
 
dah hii kareeeeeeeeee

the foundation of marriage is based on friendship first otherwise its like building a house with foundation of sand
 
Mimi ni kijana wa kiume miaka 28 sijaoa natafuta mke nipo sirias nimeshajipanga vya kutosha nikimpata ndoa december 2014 kama kuna dada yupo tayari kuolewa tafadhali wasiliana nami kupitia email hii chachaadudu@gmail.com

Wewe kijana go to school kwanza..Wacha mawazo mgando wanawake wapo tena rahisi tu buku jero kibao hapa JF tafuta hela wewe
 
email yako inasisitiza kuwa dudu shelele limechacha,nani atakuja hapo? utasubiri sana
 
Wadada ndo wawe makini. Umeona hiyo email ID yake? Usikute huko mtaani panachimbika kila anapokuwepo. 28yrs hajui jinsi ya kutongoza mpaka anakuja jamvini? Nina wasiwasi na yeye

Mchumba anapatikana popote!!
 
mimi pia natafuta yeyote aliye tayari an pm tuongee vizuri
 
Kwann umependelea kuja kusaka mchumba/ mke humu? Ukijib kwa umakini ntakuambia kitu
 
Mkuu ndoa dec 2014... Kwa ulimbo huo utawanasa wengi.. wadada wengi humu wanazeekea makwao.. Kwa offer hiyo watamiminika wa kutosha.. Wengine ukimpata wa kumpata.. Waliobaki utanirushia mimi nihangaike nao teh teh

Maneeenah.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom