Mlundilwa Jr
JF-Expert Member
- Dec 11, 2019
- 2,893
- 4,304
- Thread starter
- #21
Dogo alikua tayali kuolewa na jamaa ila familia ya jamaa walipokuja kujua ni mkiristo wakamshauri asioe na hawakumwambia mwenzangu na mie ukweli uliofanya waghairi kumchukuaKwanini ulijipeleka wakujue wewe na ndio maana unahangaika, kama hukuona shida na mdogo wako angebadili dini.. ulishindwaje kumpa ushauri!!.. pole kwa kujua umesababisha haya matokeo na wenzako pia mlioyafanya..