martinezstavo
JF-Expert Member
- Jun 30, 2020
- 735
- 1,560
nimekuelewa mgaa gaaUnaweza ukahisi hivyo ila ndiyo ninayoyashuhudia Sasa hivi mimi
nimekuelewa mgaa gaaUnaweza ukahisi hivyo ila ndiyo ninayoyashuhudia Sasa hivi mimi
Uyo Wala aina haja ya kumpeleka kwa wachungaji kaa nae chini zungumza nae kwanza badae ukiona aelekei basi waweza kumpeleka akapata maombi inawezekana ni pepo mana si kawaida, ila ivyo vitabia wapo wanawake ambao wanavyo kuna dogo mmoja ni wakike pia anayo tabia ya kukwapua tena yeye mpk pesa anakwapuaMkuu si Kila mwezi Ni Kila wiki naaminisha mkuu na nimefanya hivi ili aache nikidhani Wenda Hana nguo ila Jana tu dada yake ananiambia ameiba Tena nimfanyaje huyu binti nampenda kweli au nimpeleke wa wachungaji wakamwombee