Mchumba kama huyu headache sana

Mchumba kama huyu headache sana

Mwambie namna unavyokerwa na tabia yake na pia mweleze awe anakuamini kisha wewe endelea na ratiba zako kama kawaida, suala la yeye kukuamini au kutokukuamini lisikuumize kichwa.
 
wee mbwanga....usintafute!!! mie hiyo nilikuwa nastaarabika na mahabuba wangu sosoliso!!! kelele zako hata sikuzisikia!

Advice to girls; If you want your man to love you more: give him time (to be with his friends, to watch soccer etc), show that you trust him, be thankful and avoid your selfishness. utashangaa unapendwa hata kama si mrembo physically.
Hahahhahaaaa wene Mndeee iweeee, sasa hapo pa kuwapenda marafiki wa mumeo huoni kuwa mnajipa mtihani wenyewe??? Mie marafiki zangu wengi ni Bar-maids.....na Housegirls chacha chema hapo napo
 
Mimi ndugu nimeoa. Nilichojifunza mpaka sasa;

==?Malezi/Uhusiano/Mazoea ya uchumba hata kwenye ndoa ndio yanakuwa maisha halisi

NAMAANISHA NINI?

Kama umezoea/umemzoesha kupokea simu kila baada ya dakika 10 kwa kutoka kwenye meeting, basi mkeo/mchumba wako ataendelea kukusumbua hivyo hivyo

Kama ulishawahi kuwa na mahusiano na wanawake wengine basi mchumba/mkeo atakuwa na wasiwasi sana na atabehave kama ulivyosema hapo juu.

CHA KUFANYA

Vunja ukimya, mwambia kuwa unapokuwa kwenye meetings unahitaji concentration, kutokuongea au kuchat mara kwa mara haimaanishi haumpendi au haumjali

Mwambie kama anahisi una wanawake wengine basi anajiumiza bure, aende kwenye nyumba za ibada akapate AMANI ya moyo maana wewe hauna makuu wala uzinzi.
 
Umenena kweli kabisa Mpwa na kwakuongezea a serious note ni kwamba.....kama mlikutana Bar na ulimnunulia pombe tebna kwa kumbembeleza aongeze na kila siku ukamzoesha mkutane Bar mnywe.....ukishamuoa unakaataaje asinywe pombe? eti abaki nyumbani? hyuo ni mfano mdogo tu, Asante Mpwa
Mimi ndugu nimeoa. Nilichojifunza mpaka sasa;

==?Malezi/Uhusiano/Mazoea ya uchumba hata kwenye ndoa ndio yanakuwa maisha halisi

NAMAANISHA NINI?

Kama umezoea/umemzoesha kupokea simu kila baada ya dakika 10 kwa kutoka kwenye meeting, basi mkeo/mchumba wako ataendelea kukusumbua hivyo hivyo

Kama ulishawahi kuwa na mahusiano na wanawake wengine basi mchumba/mkeo atakuwa na wasiwasi sana na atabehave kama ulivyosema hapo juu.

CHA KUFANYA

Vunja ukimya, mwambia kuwa unapokuwa kwenye meetings unahitaji concentration, kutokuongea au kuchat mara kwa mara haimaanishi haumpendi au haumjali

Mwambie kama anahisi una wanawake wengine basi anajiumiza bure, aende kwenye nyumba za ibada akapate AMANI ya moyo maana wewe hauna makuu wala uzinzi.
 
the gud thng mchane live au
pia ww umemzoesha bila mipaka..Ladys ckuzote ni tairi za nyuma hufuata
mwlekeo wa tair za mbele

Tairi za nyuma?
Watu mna kauli mbaya!
 
Wasichana wengine matatizo sana, yaani akikaa kwene mahusiano bila kuleta chokochoko haoni raha anatafuta sababu hadi mgombane, mara akague simu akikuta hakuna sms yoyote kutoka kwa msichana ananuna eti lazima umezifuta, akiikuta sms kutoka kwa msichana ananuna eti utakuwa unamsaliti, yaan ilimradi vurugu tu.

Anataka hata ukiwa kwenye meetings uwe unatoka kila baada ya dakika 10 unampigia simu. angekuwa anafanya hivo kama alishawahi kukufuma unaweza sema afadhali lakini kama hujawahi kumsaliti alafu akawa anafanya hivo inachosha sana. Sijui mwanamke wa hivi anajua anavyoboa?? hata kama anatabia nyingine nzuri, na sijui kama akiachwa anajua sababu zake kutemwa au laa. Du yamenikuta bandugu.

Advice to girls; If you want your man to love you more: give him time (to be with his friends, to watch soccer etc), show that you trust him, be thankful and avoid your selfishness. utashangaa unapendwa hata kama si mrembo physically.

Hakupendi ila anatafuta visingizio vya kuachana na wewe. Hujawahi kuona msichana anapretend kuwa anakupenda sana hadi anafikia hatua ya kukusingizia kuwa una wasichana wengi, kama gia ya kuondokea halafu mnaachana kiukweli kweli? OA MWANAKWETU OA, achana na mambo ya visichana visichana. Muda tulionao binadamu hautoshi kabisa kuweza kufanya mambo ya maana tunayotakiwa kuyafanya, halafu wewe bado una-entertain "tweets" zisizo na msingi? Shusha net!
 
Kuna baadhi ya watu wanadhani kuwa 'control freak' ndiyo kupenda.Hii huwa inakera kwa wengi. Siyo kama ukiingia kwenye uhusiano basi kila kitu kinabadilika 'radically' na unapoteza uhuru kabisa, ubinadamu unabaki palepale.Kwa kiasi fulani bado utahitaji muda na 'boys' wenzako au kwa wanawake muda na 'wadada' wenzao, kutakuwa na muda wa familia( kutoka 'out' na familia) na muda wa kukaa na familia nyumbani, kwenda kazini , kwenda kwenye 'social engagement' n.k. Tabia nyingi tunaziona toka mwanzo lakini tunazifumbia mambo kwa sababu ya 'kupenda'.
 
Mimi ndugu nimeoa. Nilichojifunza mpaka sasa;

==?Malezi/Uhusiano/Mazoea ya uchumba hata kwenye ndoa ndio yanakuwa maisha halisi

NAMAANISHA NINI?

Kama umezoea/umemzoesha kupokea simu kila baada ya dakika 10 kwa kutoka kwenye meeting, basi mkeo/mchumba wako ataendelea kukusumbua hivyo hivyo

Kama ulishawahi kuwa na mahusiano na wanawake wengine basi mchumba/mkeo atakuwa na wasiwasi sana na atabehave kama ulivyosema hapo juu.

CHA KUFANYA

Vunja ukimya, mwambia kuwa unapokuwa kwenye meetings unahitaji concentration, kutokuongea au kuchat mara kwa mara haimaanishi haumpendi au haumjali

Mwambie kama anahisi una wanawake wengine basi anajiumiza bure, aende kwenye nyumba za ibada akapate AMANI ya moyo maana wewe hauna makuu wala uzinzi.

Tigga Mumba, asante kwa ushauri najitahidi niufanyie kazi.
 
Madem ndo zao ukimuonyesha kumpenda 2 atataka kujifanya ndo kila kitu kama vile first lady hv wkati mmekutana wote mshaota meno bitch
 
Back
Top Bottom