Mchumba kama huyu headache sana

Mchumba kama huyu headache sana

FELIPE

Senior Member
Joined
Aug 4, 2011
Posts
107
Reaction score
45
Wasichana wengine matatizo sana, yaani akikaa kwene mahusiano bila kuleta chokochoko haoni raha anatafuta sababu hadi mgombane, mara akague simu akikuta hakuna sms yoyote kutoka kwa msichana ananuna eti lazima umezifuta, akiikuta sms kutoka kwa msichana ananuna eti utakuwa unamsaliti, yaan ilimradi vurugu tu.

Anataka hata ukiwa kwenye meetings uwe unatoka kila baada ya dakika 10 unampigia simu. angekuwa anafanya hivo kama alishawahi kukufuma unaweza sema afadhali lakini kama hujawahi kumsaliti alafu akawa anafanya hivo inachosha sana. Sijui mwanamke wa hivi anajua anavyoboa?? hata kama anatabia nyingine nzuri, na sijui kama akiachwa anajua sababu zake kutemwa au laa. Du yamenikuta bandugu.

Advice to girls; If you want your man to love you more: give him time (to be with his friends, to watch soccer etc), show that you trust him, be thankful and avoid your selfishness. utashangaa unapendwa hata kama si mrembo physically.
 
mkipendwa shida
msipopendwa tabu!
abiria chunga mzigo wako khaaaa!
 
njooni mtoe coment wajamen manake nataka kudesa coment zenu.............
 
nilijua tu watakuja kwa nguvu sana hawalalai hawa wana kazi moja kusubiria thread zinazowagusa ili waziponde, haya dongo hiloooo mie nalala zangu.....najua leo hamtapata usingizi kwa hasira hhhahahahhaaa wapi Mndee Paloma aje kwa huku najua Little Angel naye anasubiri apigiwe simu ya good night Swithati ndio atapata usingizi.....nyoooo mtakoma, tumewachoka bhana
 
Last edited by a moderator:
Uchumba tu anakusumbua hivyo, ukimuoa itakuwaje?

Ananifanya niwaze mara mbili mbili juu ya kumuo, make naweza kujikuta kila siku ni kujieleza kwa mwanamke. Kuna rafiki yangu alimtania kuwa ofisini kwetu kuna secretary mzuri, baasi mwanamke amani hana na kazini kwangu.
 
Ananifanya niwaze mara mbili mbili juu ya kumuo, make naweza kujikuta kila siku ni kujieleza kwa mwanamke. Kuna rafiki yangu alimtania kuwa ofisini kwetu kuna secretary mzuri, baasi mwanamke amani hana na kazini kwangu.

fungu la kumi lina mtia wazimu
 
Hahaha ya nn kujitia pressure...wanaume tutawawezea wapi....anakagua simu hiyo kumbe ana simu malaya chini ya kiti cha gari....mwambie mwanaume achungoki akiamua kaamua so atulizw maruhan yeye ndo mama watoto.
 
the gud thng mchane live au pia ww umemzoesha bila mipaka..Ladys ckuzote ni tairi za nyuma hufuata mwlekeo wa tair za mbele
 
ukiona hivyo ujue yy cyo mwaminifu kwaiyo anajua na ww unamdanganya
 
Ushauri wa bure mpige mimba umuoe huku anatumbo ili akusumbue kihalali!!
 
Watu kama nyie ndo mnafanyaga wanaume wote tuonekane hatuna akili. Muwekee mipaka huyo
 
nilijua tu watakuja kwa nguvu sana hawalalai hawa wana kazi moja kusubiria thread zinazowagusa ili waziponde, haya dongo hiloooo mie nalala zangu.....najua leo hamtapata usingizi kwa hasira hhhahahahhaaa wapi Mndee Paloma aje kwa huku najua Little Angel naye anasubiri apigiwe simu ya good night Swithati ndio atapata usingizi.....nyoooo mtakoma, tumewachoka bhana

wee mbwanga....usintafute!!! mie hiyo nilikuwa nastaarabika na mahabuba wangu sosoliso!!! kelele zako hata sikuzisikia!

Advice to girls; If you want your man to love you more: give him time (to be with his friends, to watch soccer etc), show that you trust him, be thankful and avoid your selfishness. utashangaa unapendwa hata kama si mrembo physically.


 
Last edited by a moderator:
Umejaribu kusema nae?mwambie anakuboa kwa hizo tabia zake unahitaj afanye a,b,c if hatabadilika ndo ufanye maamuzi sasa
 
Back
Top Bottom