Mchumba bado anavaa pete ya ndoa imekaaje hii?

Mchumba bado anavaa pete ya ndoa imekaaje hii?

From your experience or mine?
Sasa unataka aendelee na huyo mume wa mtu aliyekuwa anamdanganya na kumptotezea muda? na aliemuacha?
Alifanya uchunguzi wa kutosha kwamba jamaa alikuwa mume wa mtu?? Au aliaminishwa na uvaaji wa Pete na kusuasua kwa mgawanyo wa Mali?? Unajua case za hapa jukwaani mara nyingi ni za upande mmoja tu, yeye kaongea yake yoooote ila hatujapata kumsikia the so-called mime wa mtu .

Halafu kwenye love sometimes you need to believe what you are told by your partner kama huna namna ya kum-prove wrong japo pia sipingi kwamba actions speak louder than words.

Complications!!!!!!!
 
Back
Top Bottom