Mchumba bado anavaa pete ya ndoa imekaaje hii?

Mchumba bado anavaa pete ya ndoa imekaaje hii?

Baada ya kuuliza haya nimeachwa rasmi

Kaona umepata akili, mshukuru Mungu kwa jambo lililotokea. Huyo alikuwa na mengi zaidi anakuficha. Labda hata alitaka kuiba nyota yako au kukutoa kafara kivyovyote vile.

Pole na usimlilie, Mola atakupatia mtu sahihi na bado hujakutana naye. Sali
 
Maswali mengne ya kipuuzi....wew huoni hata pichaa...!!bado wanapendana hao....wew n kipozeo...sasa jiachie na papuchi yako uachwe mfugale
 
Mchumba alishaoa ndoa ya Roma na kupata watoto. Wameachana na mke na watoto ni wakubwa. Changamoto iliyopo


1. Ndoa ya Roma haina talaka nitaweza kuolewa na huyu mwanaume?

2. Bado anazaa pete ya ndoa hii imekaaje?
.

Angalia lakini huyu nae asipoteee kama Yule mangi aliege kufungulia duka.
 
Duuh we Dada unatumika balaaa


 
Una nyota ya vumbi mtoa mada 😂😂😂 kama ujuavyo vumbi linaongoza kwa kuachwa.
 
@Prondo vipi mliishia wapi?
Mchumba alishaoa ndoa ya Roma na kupata watoto. Wameachana na mke na watoto ni wakubwa. Changamoto iliyopo


1. Ndoa ya Roma haina talaka nitaweza kuolewa na huyu mwanaume?

2. Bado anazaa pete ya ndoa hii imekaaje?
.
 
Back
Top Bottom