WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
Unampenda na umeshaamua kumsamehe sasa sijui msaada unaoutaka ni upi hapa. Nahisi bado unaumia sana moyoni mwako kwa yaliyojiri kisogoni mwako na unatamani ungekuwa na courage ya kumuacha, zigo la maumivu limekuelemea ndio ukaamua kuja kulitua hapa barazani.
Nikuambie ndugu yangu, dawa ya hili suala ni ndogo sana- Na wewe nenda ukageme, tena ikiwezeka wewe kageme mara mbili ya idadi yake, you will be so suprised the difference it makes, you will regain urijali wako back and it will make you feel good about yourself na utajikuta umemsamehe jumla na kuzidi kumpenda mwandani wako zaidi, ila tu usisahau daluga mwanangu kwenye revenge mission yako, goodluck!
KKN
Senior Sexpert.
Wenzangu naona mnasahau kitu kimoja ambacho Chichi amekieleza, nacho nikwamba.. ule msamaha kama msamaha tu tayari keshautoa. Tatizo ni kwamba pamoja na kuwa msamaha wa kidunia umeshatolewa, ndani ya roho yake kuna kitu ambacho kimechefuliwa. Kitu hicho ni kiini cha uwepo wake wote, something that makes him - him, something core to his consciousness. Ndiyo maana kila mara anakuwa na hilo dukuduku, haliondoki na vigumu kuondolewa na mtu wala maombi. Ni dukuduku na jambo la rohoni ambalo likishakuwa violated - kwa kifupi, halifutiki!
Anaweza akaenda msikitini au kanisani kuombewa, anaweza akaenda kulipiza kisasi, lakini ile violation kwa vile imeshatendeka, no matter what, the person will never forget.
Kama atajitahidi kuvumilia na kuonesha amemsamehe, hata baada ya miaka 40, Chichi bado atakuwa na scar ya hiyo violation. Ni ya milele and has got nothing to do with mwenzawake. Huyo mwenzake hata kama atakuwa amebadilika na kujirudi tabia yake.... bado, kiini cha yote ni hiyo violation iliyotokea ndani ya conscious ya Chichi. And the sad thing is, when that violation happens, IT IS IRREVERSIBLE and IRREPARABLE!!
Pole Chichi.
SteveD.
This is an interesting discussion.Inanifanya nianze kujiuliza maswali mengi. Ina maana wanaume wanapo cheat wake zao tena time and again.. hawajui inavyouma? Au inauma tu pale mwanaume akiwa cheated? Tena basi hapa ni girlfriend kacheat..je angekuwa mke ingekuwaje?
hii yako sasa inabadilika, sidhani kama tunachokiangalia hapa ni maumivu kiasi gani jinsia moja inapata kutoka kwa jinsia nyingine katika mahusiano. Hapa nadhani tunaongelea ni jinsi gani tunaweza kumsaidia huyu jamaa ambae kasamehe ila bado moyoni anajihisi mdhaifu kwa yote yaliyopelekea mchumba wake kumegwa.
Kingine ni kwamba Revenge may be a short time solution lakini je katika future kila mmoja akiwa analipiza kisasi hiyo ndoa itasimama kweli?? Fikiria leo imetokea kwa mchumba na unataka ufanye revenge je ukioa na ikatokea wewe umemega nje na kufumaniwa hiyo revenge yake utaipokea??
Tuwe makini tusije tukapotezana hapa
Unampenda na umeshaamua kumsamehe sasa sijui msaada unaoutaka ni upi hapa. Nahisi bado unaumia sana moyoni mwako kwa yaliyojiri kisogoni mwako na unatamani ungekuwa na courage ya kumuacha, zigo la maumivu limekuelemea ndio ukaamua kuja kulitua hapa barazani.
Nikuambie ndugu yangu, dawa ya hili suala ni ndogo sana- Na wewe nenda ukageme, tena ikiwezeka wewe kageme mara mbili ya idadi yake, you will be so suprised the difference it makes, you will regain urijali wako back and it will make you feel good about yourself na utajikuta umemsamehe jumla na kuzidi kumpenda mwandani wako zaidi, ila tu usisahau daluga mwanangu kwenye revenge mission yako, goodluck!
KKN
Senior Sexpert.
Kwanza pole sana ndugu yangu,kama walivyosema wengine ndo ukubwa.Unakumbuka uwa tunaongea suala la kufanya maamuzi magumu kuwa ni moja ya sifa ya kiongozi imara,basi hapa ndo mahala pake.Ninavyofahamu mimi ndoa inahitaji sana uvumilivu lakini ni kosa kubwa sana kama utakubali kuanza kuvumilia tangu kipindi cha uchumba hasa katika suala zima la kukosa uaminifu.Jaribu kukubaliana na hali halisi,kitendo chako cha kujifanya huzioni halama za nyakati kitakukosti hapo baadae.Suala hili litakukosesha amani siku zote maishani mwako,HASA KAMA WEWE NI MWAMINIFU.
BELIEVE ME THERE ARE ALOT OF FISHING GROUNDS,GO ON FISHING.ALICHOKIUNGANISHA MUNGU MWANADAMU HAWEZI KUKITENGANISHA LAKINI KWA UZINZI UTENGANISHWA.
Ndoa si lelemama,inahitaji mtu unaemkubali na unamwamini,HAPO PALISHAINGIA LUBA NDUGU YANGU,HATA WE MWENYEWE UNAJUA HILO.ANGALIA USIJE UKAWA MJUKUU WA MAJUTO
Data: 50% ya wake za watu wanamegwa nje ndo maana 50% ya wana ndoa ni HIV ++ve