Mchumba anasomeshwa cherehani tu

Mchumba anasomeshwa cherehani tu

Tenda Wema nenda zako.....!
Mkisema mchumba hasomeshwi mnakosea sababu hata hao ndugu mnaowapa vipaumbele kusomesha ni wachumba za watu wa baadae 🤣🤣
 
Hata cherehani hapaswi kusomeshwa.

Mfano:

Rafiki yangu mmoja alifanya hivyo na kumfungulia kibanda aendeshee biashara lakini Mke alikuwa akipata pesa alimtumia Baba yake Mzazi zaidi ya miezi 6 badala ya kuhakikisha wanajenga familia pa1 na Mumewe.
 
Mkuu sasa huu ni ugaidi
Hata cherehani hapaswi kusomeshwa.

Mfano:

Rafiki yangu mmoja alifanya hivyo na kumfungulia kibanda aendeshee biashara lakini Mke alikuwa akipata pesa alimtumia Baba yake Mzazi zaidi ya miezi 6 badala ya kuhakikisha wanajenga familia pa1 na Mumewe.
 
IMG-20191024-WA0000.jpg
 
Safari hii hao wachumba wanapata tabu sana
 
Jana kuna mtu kasema anajiandaa ksomesha mpenzi wake coz mwezi ujao anaingia first year na akifika mwaka wa3 atamiminia marisasi
 
Mchumba mpe limbwata la Ruangwa atakusimesha mpaka PhD isiyo na thesis
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom