karv
JF-Expert Member
- Dec 26, 2019
- 1,799
- 3,221
Habari zenu mabibi na mabwana
Leo katika pita pita zangu nimekutana na andiko moja ambalo jamaa ametusema wanaume vibaya sana nami nimelikopi na kulileta kwenu kama hivi
""Mwanaume anayeweza kuzishinda hisia zake za mapenzi ndiye atakayeweza kuishi maisha marefu. Chanzo Cha kufeli Kwa wanaume wengi kinatokana na kuwa na Wanawake wengi.
Wanawake wengine wamebeba roho za mauti kitendo Cha kulala naye TU maisha Yako yote yanaharibika.
Zingatia mambo yafuatayo
1: mwanaume kamili ni yule mwenye mwanamke mmoja katika maisha yake.
2:Zuia hisia zako za mapenzi Kama hutaki kuishi maisha mafupi nayaliyojaa umasikini ndani yake.
3: Usimtake mwanamke kisa ana makalio makubwa au ana mwili wenye kuamsha hisia za mapenzi ...kumbuka shetani Yuko kazini.
4:Sio Kila kilicho chini ya sketi ya mwanamke kinafaa kula vingine ni sumu Kali na vimeangamiza wengi.
5:Kuwa na mke mmoja haimanishi kuwa mke wako anakutawala Bali inaonyesha ni jinsi Gani umekomaa na una uwezo wa kushinda vishawishi vya Dunia hii.
6:Muheshimu mwanamke uliye naye maana kiasi utakachompimia ndicho atakachokupimia pia
7: Hakuna mwanadamu aliyewahi kufurahiwa na kuchukuliwa wa mfano kwakuendekeza umalaya.""
Basi katika hilo andiko lake huyo anayejiita mtumishi wa Mungu kuna baadhi ya sehemu amesema kweli ila sehemu kubwa sana amepuyanga.
Lakini sio kila mwanaume mwenye wanawake wengi wa ndoa amefeli kwenye maisha yake
Huu uzi wangu sio kwamba nahamasisha mitala hapana isipokuwa nataka niwaambie kwamba kwenye vitabu vyoooote vya dini hakuna kitabu ambacho Mungu amesema oeni mke mmoja hapana. Isipokuwa usifanye zinaa oa hata 10 kama unaweza ila usifanye zinaa.
NIPO NASUBIRI KUPIGWA MAWE
Leo katika pita pita zangu nimekutana na andiko moja ambalo jamaa ametusema wanaume vibaya sana nami nimelikopi na kulileta kwenu kama hivi
""Mwanaume anayeweza kuzishinda hisia zake za mapenzi ndiye atakayeweza kuishi maisha marefu. Chanzo Cha kufeli Kwa wanaume wengi kinatokana na kuwa na Wanawake wengi.
Wanawake wengine wamebeba roho za mauti kitendo Cha kulala naye TU maisha Yako yote yanaharibika.
Zingatia mambo yafuatayo
1: mwanaume kamili ni yule mwenye mwanamke mmoja katika maisha yake.
2:Zuia hisia zako za mapenzi Kama hutaki kuishi maisha mafupi nayaliyojaa umasikini ndani yake.
3: Usimtake mwanamke kisa ana makalio makubwa au ana mwili wenye kuamsha hisia za mapenzi ...kumbuka shetani Yuko kazini.
4:Sio Kila kilicho chini ya sketi ya mwanamke kinafaa kula vingine ni sumu Kali na vimeangamiza wengi.
5:Kuwa na mke mmoja haimanishi kuwa mke wako anakutawala Bali inaonyesha ni jinsi Gani umekomaa na una uwezo wa kushinda vishawishi vya Dunia hii.
6:Muheshimu mwanamke uliye naye maana kiasi utakachompimia ndicho atakachokupimia pia
7: Hakuna mwanadamu aliyewahi kufurahiwa na kuchukuliwa wa mfano kwakuendekeza umalaya.""
Basi katika hilo andiko lake huyo anayejiita mtumishi wa Mungu kuna baadhi ya sehemu amesema kweli ila sehemu kubwa sana amepuyanga.
Kwanza kabisa naungana na yeye kwamba anguko la mwanaume siku zote husababishwa na mwanamke hasa asiyefaa katika maisha yake mwanamke asiyejali na asiye na maono mfano: Samsoni, Adamu, Suleiman, Daudi huwa nasema kila siku hata shetani mwenyewe amemshindwa mwanaume ndio maana mara nyingi huwa anatumia wanawake ili kuhakikisha mwanaume anaanguka katika hili wanaume tuwe makini kuchagua.
Lakini sio kila mwanaume mwenye wanawake wengi wa ndoa amefeli kwenye maisha yake
Wapo watu wana wanawake wengi na wanaishi maisha ya furaha na amani kuliko hata hao wanaume wenye mke mmoja ambao kila siku wanakaa vikao vya upatanishi. Kwa haraka haraka mwanaume mwenye wanawake wengi anafuraha sana kuliko mwenye mke mmoja.
Mpende mwanamke kutokana na vigezo ambavyo wewe unataka kama hana vyote tafuta mwingine na mwingine na mwingine ili mradi katika wale uliokuwa nao basi wote wanavigezo ambavyo wewe unavitaka. Kama unapenda tako na weupe tafuta ukipata mwenye tako mweusi oa akijitokeza mweupe tako dogo oa ili kufidia pale.
Tunachotafuta chini ya sketi ya mwanamke ni kimoja lakini utamu ni tofauti. Ndio maana kuna visima vina kina kirefu na majani mengi pembeni na maji yapo kidogo ni ruksa tafuta kisima chenye kina kifupi na maji kiasi au mengi ili mradi ufurahie maisha yako.
Kuishi na mke mmoja ni kazi sana ambao mpo kwenye ndoa mnalijua hili.
Huu uzi wangu sio kwamba nahamasisha mitala hapana isipokuwa nataka niwaambie kwamba kwenye vitabu vyoooote vya dini hakuna kitabu ambacho Mungu amesema oeni mke mmoja hapana. Isipokuwa usifanye zinaa oa hata 10 kama unaweza ila usifanye zinaa.
NIPO NASUBIRI KUPIGWA MAWE