Mchumba anahitajika

Mchumba anahitajika

Joined
Nov 8, 2016
Posts
40
Reaction score
21
Habari wanajf,
Natafuta mchumba wakike,
Mm nikijana mfanyabishara hvyo natafuta mchumba awe mfanyabishara pia au muajiliwa serikalin

Sifa zingine ni Kama ifuatavyo
1.umri usizidi miaka 26
2.Awe mzuri
3.Awe nachura kidogo
4.Asiwe mfupi sana na asiwe mrefu sana
5.Rangi yoyote
6.Dini mkristo
7.Ukiwa dar utapewa kiaumbele zaidi

Kwaalie tayali kalibu PM
 
Hivi vibranch vitanisaidia wakati wa kumwagwa na wale wengine ukifika 😃

Nasubiri siku ifike tu mambo yakikamilika nifungue branch na kwako
Hautaweza kiapo changu cha damu, ukichepuka tu una rest in peace.
 
Habari wanajf,
Natafuta mchumba wakike,
Mm nikijana mfanyabishara hvyo natafuta mchumba awe mfanyabishara pia au muajiliwa serikalin

Sifa zingine ni Kama ifuatavyo
1.umri usizidi miaka 26
2.Awe mzuri
3.Awe nachura kidogo
4.Asiwe mfupi sana na asiwe mrefu sana
5.Rangi yoyote
6.Dini mkristo
7.Ukiwa dar utapewa kiaumbele zaidi

Kwaalie tayali kalibu PM
Mstari wa mwisho umenifanya nibadili mawazo ya kuja PM
 
Habari wanajf,
Natafuta mchumba wakike,
Mm nikijana mfanyabishara hvyo natafuta mchumba awe mfanyabishara pia au muajiliwa serikalin

Sifa zingine ni Kama ifuatavyo
1.umri usizidi miaka 26
2.Awe mzuri
3.Awe nachura kidogo
4.Asiwe mfupi sana na asiwe mrefu sana
5.Rangi yoyote
6.Dini mkristo
7.Ukiwa dar utapewa kiaumbele zaidi

Kwaalie tayali kalibu PM
Umri zero pia bado hawajakuwa .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom