Mchumba alitoroshwa akaolewa, sasa anataka nikamtoroshe

Mchumba alitoroshwa akaolewa, sasa anataka nikamtoroshe

kweli we bado mvulana jitahidi uwe hata kamwanaume ...unatuzalilisha masela !..
 
Msomi wetu anapita mtaani kichwa juu ananata kumbe ---- tu. Grow up. Jmn hakuna sheria ya adhabu humu kwa mipoyoyo km hii? Yaani sina tusi linalokustahiki weee. Pyuu
 
Wakuu,

Mimi ni mvulana (26) nimehitimu chuo kikuu cha UDSM fani ya Elimu na Sanaa (BAED). Mwaka 2011 nilimpa mimba mpenzi wangu nikiwa kidato cha sita naye akiwa cha tatu, akaacha shule nikamuahidi kumuoa, lakini baadaye akaona nimechelewa akawa ametoroshwa na mwanaume fulani kuja Dar.

Cha ajabu kwa sasa amezalishwa na ananitaka mimi nimtoroshe tena wakati nyumbani kwao mumewe anajulikana na wako naye hadi leo. Na mimi nimepata mchumba mwingine. Nifanyeje maana naheshimu ndoa yake na pia yeye anakuja hadi kwetu.

Acha kula makombo, if u wanna try smthng new nitafute. Stop ranting and enjoy life. Mapengo 17
 
Last edited by a moderator:
Mulugo has left a disastrous impacts in our education sysyem.

If you are a university graduate and you cant make decision on your own about those simple issues there is no way this country will achieve anything.

Wewe na ndugu zzako wa kijijini ambao hawakwenda shule mna tofauti gani,hii ni aibu.

Kaka hauja mshauri bado, afu mi sijaona kosa lake kwenye hii thread... kwani wewe haujawahi kuomba ushauri hata kwenye issue ndogo hili ufanye comparison na maamuzi binafsi uliyojipangia kabla ya kuyweka in action?
 
Wakuu,

Mimi ni mvulana (26) nimehitimu chuo kikuu cha UDSM fani ya Elimu na Sanaa (BAED). Mwaka 2011 nilimpa mimba mpenzi wangu nikiwa kidato cha sita naye akiwa cha tatu, akaacha shule nikamuahidi kumuoa, lakini baadaye akaona nimechelewa akawa ametoroshwa na mwanaume fulani kuja Dar.

Cha ajabu kwa sasa amezalishwa na ananitaka mimi nimtoroshe tena wakati nyumbani kwao mumewe anajulikana na wako naye hadi leo. Na mimi nimepata mchumba mwingine. Nifanyeje maana naheshimu ndoa yake na pia yeye anakuja hadi kwetu.

Mmmmhh hiki chuo kikuu kama kinawanafunzi mapopoma kama wewe bora hata mikopo wasiwapatie tu. Jitu na akili yako ukajidumbukize kwenye K iloyochezewa weeeee .
 
Tuna haja ya kuboresha na hata kubadili mitaala ya elimu yetu tangu chekechea hadi profeseri.... Huyu ni msomi wa chuo kikuu tena mwalimu mtarajiwa kweli????? Sasa utakaowafundisha wataambua nini?????? Elimu bora, elimu bora, elimu bora, baaaaaaaaaasi
 
Dah mbona unajidhalilisha kwa jambo dogo sana!sasa haujaoa tu swala kama hili umeliweka hadharani je huko unakotaka kuenda utaweza kweli jitambue ww!!
 
Wakuu,

Mimi ni mvulana (26) nimehitimu chuo kikuu cha UDSM fani ya Elimu na Sanaa (BAED). Mwaka 2011 nilimpa mimba mpenzi wangu nikiwa kidato cha sita naye akiwa cha tatu, akaacha shule nikamuahidi kumuoa, lakini baadaye akaona nimechelewa akawa ametoroshwa na mwanaume fulani kuja Dar.

Cha ajabu kwa sasa amezalishwa na ananitaka mimi nimtoroshe tena wakati nyumbani kwao mumewe anajulikana na wako naye hadi leo. Na mimi nimepata mchumba mwingine. Nifanyeje maana naheshimu ndoa yake na pia yeye anakuja hadi kwetu.

Nazani japo huyo demu hana shule ila ana akili kubwa kuliko wewe unataka ushauli wa aina gani hapa kama sio upanzi unaleta.
Mie nakushauli na wewe ukaolewe na huyo jamaa

Watu wengine bure kabisa
 
Unasema wewe ni muhitimu wa chuo kikuu?
Alafu umesomea Sanaa???
Nasikia Mr kukatwa eti nae alisomea sanaa hapo hapo UDSM.
Nyote na Mr kukatwa mlitoka kapa aise.
Je na wewe ulitumia kodi zetu(mkopo wa serikali)kusoma?
Maana naona serikali yangu kwako iandike maumivu tu.
 
Wakuu,

Mimi ni mvulana (26) nimehitimu chuo kikuu cha UDSM fani ya Elimu na Sanaa (BAED). Mwaka 2011 nilimpa mimba mpenzi wangu nikiwa kidato cha sita naye akiwa cha tatu, akaacha shule nikamuahidi kumuoa, lakini baadaye akaona nimechelewa akawa ametoroshwa na mwanaume fulani kuja Dar.

Cha ajabu kwa sasa amezalishwa na ananitaka mimi nimtoroshe tena wakati nyumbani kwao mumewe anajulikana na wako naye hadi leo. Na mimi nimepata mchumba mwingine. Nifanyeje maana naheshimu ndoa yake na pia yeye anakuja hadi kwetu.
Aiseee
Ndio waalimu nyinyi eee! Jambo ambalo mtoto Mdogo tu anaweza pata jibu lake kirahisi tuuu....
 
Una mchumba naye ameolewa unataka ushauri wa nini.....endelea na mambo yako naye achana naye BTW mtoto wako yupo wapi?
 
Back
Top Bottom