Mapengo 17
R I P
- Mar 28, 2014
- 1,228
- 618
Wakuu,
Mimi ni mvulana (26) nimehitimu chuo kikuu cha UDSM fani ya Elimu na Sanaa (BAED). Mwaka 2011 nilimpa mimba mpenzi wangu nikiwa kidato cha sita naye akiwa cha tatu, akaacha shule nikamuahidi kumuoa, lakini baadaye akaona nimechelewa akawa ametoroshwa na mwanaume fulani kuja Dar.
Cha ajabu kwa sasa amezalishwa na ananitaka mimi nimtoroshe tena wakati nyumbani kwao mumewe anajulikana na wako naye hadi leo. Na mimi nimepata mchumba mwingine. Nifanyeje maana naheshimu ndoa yake na pia yeye anakuja hadi kwetu.
Mimi ni mvulana (26) nimehitimu chuo kikuu cha UDSM fani ya Elimu na Sanaa (BAED). Mwaka 2011 nilimpa mimba mpenzi wangu nikiwa kidato cha sita naye akiwa cha tatu, akaacha shule nikamuahidi kumuoa, lakini baadaye akaona nimechelewa akawa ametoroshwa na mwanaume fulani kuja Dar.
Cha ajabu kwa sasa amezalishwa na ananitaka mimi nimtoroshe tena wakati nyumbani kwao mumewe anajulikana na wako naye hadi leo. Na mimi nimepata mchumba mwingine. Nifanyeje maana naheshimu ndoa yake na pia yeye anakuja hadi kwetu.