Mchongoano cheka kwa raha zako hapa

Mchongoano cheka kwa raha zako hapa

JFKAMANDA

Senior Member
Joined
Sep 1, 2013
Posts
122
Reaction score
45
1: Maid wenu ni zuzu alinunua mandazi kwa hoteli alipofika nyumbani akazichemsha ili apate supu
2: Naskia babu yako ni mkali sana akikasirika sana anakunywa painkillers!!!
3: Boyfriend wako amekonda mpaka ikawa shingo ni kubwa kuliko mwili
3: wewe una dhambi mpaka shetani anakuchongoa
4: Umesota hadi unanunua sambusa za mtumba
5: wewe ni maskini hadi unatengeneza sausage za viazi
6: kwenu ni mbali hadi saa za kwenu mmefunga aerial!!!!
7: wewe ni ---- hadi unatengwa na laini za vodacom
8: Naskia mke wako ni mweusi hadi ukimbusu lips zako zinaungua
9: Baba yako ni mchoyo hadi akinunua mkate anasema kila mtu anuse na akalale.
10: wewe ni mfupi hadi ukivaa buti zinafika shingoni,!!!!!!!!

Jogs jogs ongeza na zako hapo
 
dogo mmoja alioa,baada ya siku mbili baba yake akamuuliza vip unakula mzigo?dogo mzigo gani?kwani usiku unakuwaje?dogo tunalala tuu kama kawaida .duh mzee akaona imeisha kuwa taabu dogo hajui kitu!mzee akamwambia usiku nitakuja na ngoma chini ya dirisha lako utampanua miguu na kuingiza uume kisha utakohoa kunijulisha halafu nikipiga ngoma unaingiza kisha nikipiga tena unatoa hivyo hivyo.usiku zoezi likaanza vizuri mzee anapiga ndi!dogo anazama akipiga ndii anatoa!taabu ikaja dogo kakolea anataka kupiis mzee bado anapiga moja moja dogo si akapiga kelele baba changanyaaaa.mzee ndindindindiii mpaka dogo akakojoa.
 
kwenu Mpo wengi mpaka coridor kuna biashara za umachinga zna fanyika...

umekomaa mpaka ukigusa computer inasema new hardware found

Mpo wengi kwenu hadi babaako akirudi anasema Ndugu wananchi

Kwenu msoto mpaka mende na panya wanajitegemea sehemu ya Kula

Naskia mna tv kubwa hadi tom na jery wakiwa wanafukuzana wanapuumzika katikati
 
kwenu Mpo wengi mpaka coridor kuna biashara za umachinga zna fanyika...

umekomaa mpaka ukigusa computer inasema new hardware found

Mpo wengi kwenu hadi babaako akirudi anasema Ndugu wananchi

Kwenu msoto mpaka mende na panya wanajitegemea sehemu ya Kula

Naskia mna tv kubwa hadi tom na jery wakiwa wanafukuzana wanapuumzika katikati

ahahahahaaa uuh uuh mbav zangu jaman
 
Back
Top Bottom