Daah hapo nimekupata mkuu, kwa hiyo hizo nyimbo za gari kubwa ww hauna?Naomba nikuweke sawa kaka mkubwa. Huyu KICHEKO w E-fm ambae kwa sasa yupo clauds, sio kicheko wa gari kubwa (HISANI). Wakati hisani wanapiga nyimbo zao enzi hizo kicheko huyu wa genge la singeli alikuwa mtoto mdogo sana. Wale hisani walikuwa wanapatikana mwananyamala wakati kicheko na dogo mfaume wote watoto wa temeke. Kicheko kazaliwa mikoroshini temeke. Hakuwahi kuimba mnanda. Hisani walikuwa dizain kama ya watu wazima kipindi hicho sasa angalia Age ya kicheko sasa hv ni viwili tofauti. Wakati jamaa wanatamba hata huyu marehemu omary omary, Allah amrehemu alikuwa bado mdogo vile vile. Wakati kicheko na omary omary bado ommy ni mkubwa. Hisani walishakuja maeneo ya tandika bandari enzi hizo parifurika watu ikawa historia, katika harakati za kuburudisha likatokea timbwili si unajua tena masela , ilikuwa balaa show ikafa watu walipotea na raia kama wawili walidedi. Hao waliodedi walikuwa masela waliochukuliana demu maana hiyo piga yake balaaa sijui silaha walizipigilia viunoni! Braza wangu alirudi hom na kandambili moja.
Ninazo kwenye machine yangu (computer) moja ila ipo mkoa wa iringaDaah hapo nimekupata mkuu, kwa hiyo hizo nyimbo za gari kubwa ww hauna?
Kwa hiyo tunazipataje sasa maana nazitafuta kinoma.Ninazo kwenye machine yangu (computer) moja ila ipo mkoa wa iringa
Nitajitahidi nizipate mkuluKwa hiyo tunazipataje sasa maana nazitafuta kinoma.
fanya hivyo mzee ukizipata kama zikiwa kubwa ziupload kwenye soundcloud halafu unaweka link kwenye hii thread, nitashukuru sana nikizipata.Nitajitahidi nizipate mkulu
Yah na zile zilikuwa kubwa kweli maana nyimbo ya pili ikiingia walikuwa wanaunganisha wale jamaa. Yaani unaona kinanda kinabadilika.fanya hivyo mzee ukizipata kama zikiwa kubwa ziupload kwenye soundcloud halafu unaweka link kwenye hii thread, nitashukuru sana nikizipata.
Mkuu popote ulipo bado ujazipata tu hizo nyimbo.Yah na zile zilikuwa kubwa kweli maana nyimbo ya pili ikiingia walikuwa wanaunganisha wale jamaa. Yaani unaona kinanda kinabadilika.
Mfano ile nyimbo "nawaeleza visonoko wasiopenda hisani,
Na mimi nawaeleza hisani yasonga mbele"
Hii nyimbo inaunganika na Ally mwinyi ni hodari
Mkuu bado tunahamu ya hizo nyimbo za mchiriku vp hijazipataMkuu popote ulipo bado ujazipata tu hizo nyimbo.
Tufanyie msaada ndg tuzipate hizo nyimbo za gari kubwaMkuu popote ulipo bado ujazipata tu hizo nyimbo.
Uzi naufuatilia sana na nitafurahi nikipata aisee hata mie nakupe vipengele vipengele "nipe nipe Chidide, nipe nikubali"Tufanyie msaada ndg tuzipate hizo nyimbo za gari kubwa
Utazipata tuNazisubiri kwa hamu sana hizo nyimbo ziwekwe hapa
Kiongozi plz naziomba hzo nyimbo kptia whatsap 0787986923 au masemere@gmail.comNgoma zipo ila hazipandi hapa kwani nyingi ni zaidi ya MB5
NimekuInboxMwenye kuhitaji nyimbo za hisani aweke namba yake nimrushie whatsapp
Kiongozi nipe hizo nyimbo plz 0787986923Mwenye kuhitaji nyimbo za hisani aweke namba yake nimrushie whatsapp
Nirushie 0758 000393Mwenye kuhitaji nyimbo za hisani aweke namba yake nimrushie whatsapp