Mchina ni kama maji kwa sasa Utakunywa tu utake usitake

themagnificient

JF-Expert Member
Dec 13, 2016
988
3,318
Juzi hapa nilikuwa nafuatulia mjadala wa China kuipiku Japan kwenye mauzo ya magari ya umeme yaani mchina ndio anaongoza kwa kuuza magari ya umeme Duniani , Jana tna nikakuta mjadala china kuzipiga chini Scania,Volvo,Man kwenye mauzo ya malori na mabasi makubwa hapa Tanzania

Ukweli usewe tu Tabia ya mchina kuja na utamaduni wa kutengeneza bidhaa kulingana na pesa ya mtu ataendelea kuwapiga chini Wazungu kila kona atakuwa Tishio.. We unasema Gari Za china ni kimeo na huna hata bajaji ila matajiri wa Tanzania wamehamia china mnadhani ni wajinga?

Bidhaa za Mzungu zipo vingunguti pale ukiambiwa utoe bilioni moja upewe full scania hapa kati ya watu 100 ni matajiri watatu tu wanaweza kuzimudu sio kwamba watu hawapendi viatu vizuri ila ni kipato chetu kidogo, ndio maana matajiri walikuwa wananunua mitumba ambayo ikifika hapa ni kama kubeti linaweza kudumu au kukusumbua

Ila Tajiri akinunua Howo au Faw mpya ana uhakika wa kulitumia miaka 6 bila usumbufu na pesa inarudi na garama ya manunuzi ni ndogo na ndio maana Mtajiri wamekimbilia china, Kwenye mabasi ndio hivyo hivyo mtu ananunua Yutong kwa bei cheap analitumia kwa miaka 5 na halisumbui pesa ikirudi anazuza , kila Tajiri anapenda Marcopolo ila miliomi 800 nani anazo?
 
Tatizo vitu vyake si imara, ni very delicate, anatengeneza vya bei rahisi ili apate hela chapchap na kuwapiku wazungu wenye kutengeneza vitu imara
Mchina ana vitu imara na ana soko ulaya na marekani pesa yako tu hata simu za xi na huwawei ni moto we pesa yako tu
 
Juzi hapa nilikuwa nafuatulia mjadala wa China kuipiku Japan kwenye mauzo ya magari ya umeme yaani mchina ndio anaongoza kwa kuuza magari ya umeme Duniani , Jana tna nikakuta mjadala china kuzipiga chini Scania,Volvo,Man kwenye mauzo ya malori na mabasi makubwa hapa Tanzania

Ukweli usewe tu Tabia ya mchina kuja na utamaduni wa kutengeneza bidhaa kulingana na pesa ya mtu ataendelea kuwapiga chini Wazungu kila kona atakuwa Tishio.. We unasema Gari Za china ni kimeo na huna hata bajaji ila matajiri wa Tanzania wamehamia china mnadhani ni wajinga?

Bidhaa za Mzungu zipo vingunguti pale ukiambiwa utoe bilioni moja upewe full scania hapa kati ya watu 100 ni matajiri watatu tu wanaweza kuzimudu sio kwamba watu hawapendi viatu vizuri ila ni kipato chetu kidogo, ndio maana matajiri walikuwa wananunua mitumba ambayo ikifika hapa ni kama kubeti linaweza kudumu au kukusumbua

Ila Tajiri akinunua Howo au Faw mpya ana uhakika wa kulitumia miaka 6 bila usumbufu na pesa inarudi na garama ya manunuzi ni ndogo na ndio maana Mtajiri wamekimbilia china, Kwenye mabasi ndio hivyo hivyo mtu ananunua Yutong kwa bei cheap analitumia kwa miaka 5 na halisumbui pesa ikirudi anazuza , kila Tajiri anapenda Marcopolo ila miliomi 800 nani anazo?
YUTONG imetawala south America yote na baadhi ya nchi za Ukaya Afrika ndio kama kwake Asia ndio nyumbani.
USA wemyewe hawajamkwepa mchina.
Atakaye kwambua mchina anakwepeka huyo ni mchawi.
Wazungu wasipo iga Tech modal ya mchina watauziana wenyewe kwa wenyewe.
Nimewahi shauri humu kuwa sisi waafrika tuige modal ya wachina haina gharama na una leap from haraka.
Je unajua kuwa YUTONG ilikuwa tu gereji kama ya Abood o
Pale Moro.
 
Tatizo vitu vyake si imara, ni very delicate, anatengeneza vya bei rahisi ili apate hela chapchap na kuwapiku wazungu wenye kutengeneza vitu imara
Uwe unajifunza kufuatilia mambo, hio kauli yako ilikuwepo miaka 15 enzi hizo boda zinaingia TZ ikiwepo SAN LG lakini leo boda za mchina ndio mkombozi wa mtaazania , je watu wangesikiliza propaganda si watu wengi bado wangekuwa wakitaabika na usafiri!
Leo kuna economic war kati ya China na USA. Hivi USA inaweza kupigana vita na nchi yenye vitu vibovu vibovu?
Je unaweza kututajia vifaa visivyoimara katoka China?
Iqra,Iqra,Iqra soma,soma ,soma kwa jina la mola wako aliwaasa warabu Bwana mtume MSA.
Kwa nini hutaki kusoma, kwa nini hutaki kusikiliza hata media. Akili kuambiwa na kufuata kama uwepo bila kupima ni jambo baya sana.
Mwanaharskati mweusi Dr. Willson kutoka Amerika ktk kitabu chake cha "Capitalist Nigga" ametuasa watu weusi tusome, tusome.
Ukisoma huta Amini mammbo hovyo hovyo.
 
Uwe unajifunza kufuatilia mambo, hio kauli yako ilikuwepo miaka 15 enzi hizo boda zinaingia TZ ikiwepo SAN LG lakini leo boda za mchina ndio mkombozi wa mtaazania , je watu wangesikiliza propaganda si watu wengi bado wangekuwa wakitaabika na usafiri!
Leo kuna economic war kati ya China na USA. Hivi USA inaweza kupigana vita na nchi yenye vitu vibovu vibovu?
Je unaweza kututajia vifaa visivyoimara katoka China?
Iqra,Iqra,Iqra soma,soma ,soma kwa jina la mola wako aliwaasa warabu Bwana mtume MSA.
Kwa nini hutaki kusoma, kwa nini hutaki kusikiliza hata media. Akili kuambiwa na kufuata kama uwepo bila kupima ni jambo baya sana.
Mwanaharskati mweusi Dr. Willson kutoka Amerika ktk kitabu chake cha "Capitalist Nigga" ametuasa watu weusi tusome, tusome.
Ukisoma huta Amini mammbo hovyo hovyo.
kweli
 
Back
Top Bottom