jouneGwalu
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 2,687
- 1,780
Juzi nilitembelea ofisi za jamaa wachina wanaitwa Jiteng Consulting Company, hawa jamaa wapo pale Mikocheni B, nilikuwa naonana na mkurungenzi wake anaitwa Mr A. Huang!
Katika stori yule mchina akaniambia kuwa RC wa Dar es salaam anaefuatia baada ya Lukuvi ni Bw. Jordan Rugimbani.
Nimekuwa mpole nasubiri nione utimilifu wake, japo nimeshtuka kidogo kwa "muwekezaji" kuwa na taarifa za nchi za ndani kiasi hicho.
Katika stori yule mchina akaniambia kuwa RC wa Dar es salaam anaefuatia baada ya Lukuvi ni Bw. Jordan Rugimbani.
Nimekuwa mpole nasubiri nione utimilifu wake, japo nimeshtuka kidogo kwa "muwekezaji" kuwa na taarifa za nchi za ndani kiasi hicho.