MSEZA MKULU
JF-Expert Member
- Jul 22, 2011
- 3,820
- 5,822
akichojoa unakuta kitu ni saa sita ya usikuHa ha ha...ukimuona kitu saa sita,akichojoa utakimbia..
hahahahahaakichojoa unakuta kitu ni saa sita ya usiku
Ndo ninapowakumbuka Alshabab huko Somaliland. Iikuwa ni kosa kwa mwanamke kuvaa sidiria. Kosa lenyewe ni kujaribu kuwazuga wanaume. Wadada walichezeaje bakora!!Itabidi tuanze kuwakagua tu... Mana hamna namna
utakagua wangapi!!Itabidi tuanze kuwakagua tu... Mana hamna namna