Gwangzu
JF-Expert Member
- Dec 21, 2017
- 2,457
- 3,819
Kuna huu mchezo mpya unaitwa bonanza a.k.a Dubu ni mchezo mpya wa kamali umeletwa na wachina,watu wengi mnanaufam. huu mchezo ningeomba serikali muwaambie hao wachina waweke sehemu maalum ya kuchezea sio ovyo ovyo kila mahari watu wanacheza hata vichochoroni, Unakuta watoto hawaendi shule wanacheza huo mchezo, na ukiwauliza kwanini hamuendi shule wanakwambia ety na wao wanazarisha hela [emoji23]