Mchezo wa draft

Mi ni mwanamke but draft nawapiga super wanaume,unahitaj akili ya haraka sana na unacheza nafasi zote mbili ya kwako na ya opponent wako.mkishapanga kete mahesabu fasta yaanze.ukichelewa imekula kwako.
 
Huo mchezo naupenda sana akili nyingi na mahesabu vinatakiwa sana ili uweze kushinda,yaani mpinzani wako anaposhika kete tu wewe anza kumpigia hesabu ya kumfilisi na wewe kupata faida yaani kubaki na kete zako bila kupata hasara
 
Draft halina aina za michezo inayozidi mitano sababu kete zote zinaenda kwa hatua moja diagonally.

Chess ndio mchezo mtamu sababu kila kete inaenda kivyake na linaitaji akili nyingi hata mara 60 ya akili ya kucheza.

Chess unafanya kazi ya kumlinda King wako asikamatwe.
Na huu ndio uzuri wa chess,hata kama umeliwa kete moja tu King akikamatwa(akiliwa) mchezo ushafungwa.checkmate!

King wako analindwa na walinzi(kete) wasiopungua 6,zikiwemo

1.Queen
Hii inatembea pande yeyote ile ya uwanja,lakini haiwezi kuruka chumba chenye kete.

2.Knight
Huyu sura ya kichwa cha farasi.Anatembea kwam mfumo wa herufi L.Anaweza kuruka kete nyingine.

3.Bishop
Anatembea diagonally tu na haruki kete ingine

4.Castle
Huyu anaenda kokote ila sio diagonally na haruki kete

5.Pawn
Hizi ni kete zenye dhamani ndogo kuliko zote.zinambea hatua moja tu mbele na hula digonally.Lakini akifanikiwa akavuka kufika mstari wa kwanza ambao King anapangwa(ukiingiza king) unaongeza moja ya kete nilizotaja hapo juu,wengi huingiza Queen sababu ndio the most powerful kete.

Hizi kete zote zinakua katika pair,kutoa King tu ni moja.Zinapangwa katika mistari mwili ya nyuma.
 
Pia inabidi uwe na maneno ya kejeli kejeli na kumtisha mpinzani wako kwa jina la aina ya mfumo unaotumia kama vile ebola,ngoma,mara chang'aa n.k
 
Huu mchezo wala hautaji kufikiria sana kama wengi wenu mnavyodhani huu mchezo kuna kitu kinaitwa copy(formation) ukizitua hizo basi hakuna atakaye kusumbua maana utakuwa unajua sale ilipo na goli lilopo kufungwa kwako itakuwa hadithi
 
Nimeucheza sana pande za mabibo hostel pale ni mi ndyo nilikuwa mtaalamu wao pale
 
Mkuu kuna MTU anaitwa Bedui kutoka Temeke alikuwa nuksi sana. Kagaragaza sana Keko, Temeke n.k, unamjua?
 
Huu mchezo nilianza kucheza darasa la nne mpaka na kufika la Sita nilikua hatari Hadi wazee walikua wataki kuniona nilikua sina huruma mpaka kwa dingi
 
Ninayo draft moja kwenye PC yangu kuna mdada wa stage ya pili kila siku ananichapa Supa mpaka wife ananiulumia yani natafuta kijiwe nijipige msasa ili nipambane naye tena mpaka avue kyupi
Huyu mbna anafungika tu brooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…