Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,697
- 32,447
Kumbuka Mozambique kuna kundi la waasi la RENAMO ambalo japo kulikuwa na ceasefire agreement lakini baada ya uchaguzi wa kijinga walitaka kurejea msituni tena.Nashangaa wamewssumbua kwa miaka 4 lkn wameondolewa ndani ya mwezi 1.Watakua na jeshi dhaifu sana.
