Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,566
- 32,033
Marehemu kweli wamekufa kwa kupigwa risasi...lakini ni wahusika wakubwa wa kuuza pembe za ndovu wakishirikiana na mapolisi,..wamekuwa wakiwasaidia sana hata usafirishaji
nafikiri kova fatilia sana pia uhusiano wao wa kuwalinda hawa wahalifu hujui uko kwako wamebaki wangapi
nafikiri kova fatilia sana pia uhusiano wao wa kuwalinda hawa wahalifu hujui uko kwako wamebaki wangapi