Mchezo mchafu unaofanywa na benki kuwapora wateja pesa zao

Aisee.. Kuna account yangu bank ya standard chartered,
Juzi nmeweka 190,000 kwa njia ya m pesa cha jabu hiyo bank wakafyeka 22,000 nzima. Mpaka sasa hivi nawaza wamekata kwa jili ya nini sipati jibu.
Mkuu nchi imeoza hii
 
Habari zenu ndugu zangu
Naomba kushea na nyie jambo hili

Leo nilikuwa Mahakamani kwa ajili ya shughuli zangu nikakutana na mama mmoja anafuatilia mirathi ya mumewe. Katika mazungumzo yetu akanidokeza jambo moja ambalo nimeshangaa sana.

Anasema baada ya shauri la mirathi kuisha alipewa barua inayomtambulisha kua msimamizi ili akafatilie pesa na mambo mengine

Mumewe alikuwa ni mfanyakazi wa umoja wa mataifa UN.

Alianza na benki aliokuwa anachukulia mshahara mumewe.

Alivyofika baada ya kuwaonesha document walimwambia angoje kidogo wafanyie kazi.

Baada ya muda kidogo wakamuita na kumpa bank statement ambayo alitakiwa apeleke Mahakamani

Bank statement ilionesha account ilikuwa na laki moja na sent kiasi
Akaondoka mpaka Mahakamani na kukabidhi bank statement kwa karani
Anasema karani hakuwa na imani na kiasi cha pesa kilichopo kwenye account ya marehemu kwa sababu document zilionesha alikuwa analipwa milioni 2 kwa mwezi

Karani wa mahakama ikabidi apige simu benki na kuhoji maswali kadhaa kuhusu utata huo
Benki walimjibu kwamba walikosea na kwamba taarifa sahihi account ina milioni mbili na point

Inavyoonekana huu mchezo benki wanaucheza sana.

Fikiria wangapi wamedhulumiwa kwa mtindo kama huu
Nilidhani labda marehemu alikuwa na fixed accnt kumbe ni accnt ya kawaida, ss km mshahara ulikuwa ukiingia tu anautoa unategemea ibaki sh ngp?

Hapo hoja ni kwamba kwnn waseme walikosea kuandika badala ya milioni mbili wakaweka laki moja na sio eti kushangaa kwnn ibaki laki moja wkt alikuwa analipwa milioni mbili kwa mwezi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu ndugu zangu
Naomba kushea na nyie jambo hili

Leo nilikuwa Mahakamani kwa ajili ya shughuli zangu nikakutana na mama mmoja anafuatilia mirathi ya mumewe. Katika mazungumzo yetu akanidokeza jambo moja ambalo nimeshangaa sana.

Anasema baada ya shauri la mirathi kuisha alipewa barua inayomtambulisha kua msimamizi ili akafatilie pesa na mambo mengine

Mumewe alikuwa ni mfanyakazi wa umoja wa mataifa UN.

Alianza na benki aliokuwa anachukulia mshahara mumewe.

Alivyofika baada ya kuwaonesha document walimwambia angoje kidogo wafanyie kazi.

Baada ya muda kidogo wakamuita na kumpa bank statement ambayo alitakiwa apeleke Mahakamani

Bank statement ilionesha account ilikuwa na laki moja na sent kiasi
Akaondoka mpaka Mahakamani na kukabidhi bank statement kwa karani
Anasema karani hakuwa na imani na kiasi cha pesa kilichopo kwenye account ya marehemu kwa sababu document zilionesha alikuwa analipwa milioni 2 kwa mwezi

Karani wa mahakama ikabidi apige simu benki na kuhoji maswali kadhaa kuhusu utata huo
Benki walimjibu kwamba walikosea na kwamba taarifa sahihi account ina milioni mbili na point

Inavyoonekana huu mchezo benki wanaucheza sana.

Fikiria wangapi wamedhulumiwa kwa mtindo kama huu
😡
Wakiona huu uzi Mama atalipwa in full
 
Habari zenu ndugu zangu
Naomba kushea na nyie jambo hili

Leo nilikuwa Mahakamani kwa ajili ya shughuli zangu nikakutana na mama mmoja anafuatilia mirathi ya mumewe. Katika mazungumzo yetu akanidokeza jambo moja ambalo nimeshangaa sana.

Anasema baada ya shauri la mirathi kuisha alipewa barua inayomtambulisha kua msimamizi ili akafatilie pesa na mambo mengine

Mumewe alikuwa ni mfanyakazi wa umoja wa mataifa UN.

Alianza na benki aliokuwa anachukulia mshahara mumewe.

Alivyofika baada ya kuwaonesha document walimwambia angoje kidogo wafanyie kazi.

Baada ya muda kidogo wakamuita na kumpa bank statement ambayo alitakiwa apeleke Mahakamani

Bank statement ilionesha account ilikuwa na laki moja na sent kiasi
Akaondoka mpaka Mahakamani na kukabidhi bank statement kwa karani
Anasema karani hakuwa na imani na kiasi cha pesa kilichopo kwenye account ya marehemu kwa sababu document zilionesha alikuwa analipwa milioni 2 kwa mwezi

Karani wa mahakama ikabidi apige simu benki na kuhoji maswali kadhaa kuhusu utata huo
Benki walimjibu kwamba walikosea na kwamba taarifa sahihi account ina milioni mbili na point

Inavyoonekana huu mchezo benki wanaucheza sana.

Fikiria wangapi wamedhulumiwa kwa mtindo kama huu
😡
Benk statement imekosewa? sema Pia mkuu ungetusaidia kujua hata jina la hiyo benk na hiyo account namba tuifanyie utafiti,hapa kuna harufu ya zuluma
 
Mkuu si unapotezea tu kwani na wewe huibi katika nafasi yako? Huko ofisini hupigi panga? Kila mtu bongo ni mwizi katika nafasi yake. Ukiibiwa potezea tu. Cha kufariji huyo aliyekuubia naye atalizwa na aliyemliza naye atalizwa karma ipo kwa iyo usijali songa mbele
mkuu acha kugeneralize eti kila mtu mwizi....watu wengine ni waaminifu kwa asilimia zote. Hata kama wapo kumi nchi nzima sio jambo la busara kuwsingiza wote kwenye genge lenu la ujambazi
 
Mkuu si unapotezea tu kwani na wewe huibi katika nafasi yako? Huko ofisini hupigi panga? Kila mtu bongo ni mwizi katika nafasi yake. Ukiibiwa potezea tu. Cha kufariji huyo aliyekuubia naye atalizwa na aliyemliza naye atalizwa karma ipo kwa iyo usijali songa mbele
We jamaa mbona unatetea ujinga? Au upo bank?
 
Mimi mpk leo NMB account nimeisusa kabisa, kipindi cha harusi yangu nilikua nawweka michango jamaa walikomba kama 450k hivi,
Then niliudhika zaidi siku Mama alinituma nimtumie babu hela kwa NMB pale Tmk kipindi hicho tawi lao lipo jirani na hospt ya Temeke, ile hela haikumfikia babu na payslip nilikua nayo hivyo Mama alijua nilikula ile hela
 
Back
Top Bottom