Mdigokhan
JF-Expert Member
- May 2, 2022
- 990
- 2,316
Ukija kichwa kichwa, utaona team ya wasanii kama hawajui kucheza mpira, kama hawaelewani, wanapishana, ila bado inabaki kuwa team moja. Wana mbinu nyingi za kushinda hii game.
Moja ya mbinu yao ni katikati ya mchezo wanacheza chenga na madoido maana lengo lao sio kushinda tu hii game yao, bali pia wapinzani wasahau kuhusu LIGI KUU
Wapo kazini.
Gen Z wameletewa propaganda, ime-tick, na mdogo mdogo nikiangalia nadhani wasanii wanazidi kuikamata hii mechi kimasihara.
Kwasasa, ubao ni 1-2 wasanii wamechomoa, na soon wasanii wanarudi kwenye mchezo rasmi.
Majizo kapiga bonge moja la assist ⚽️.
Mashambulizi yao sio ya kustukiza ni mipango kuanzia golini.
Mond anatokea sub Kocha akaona aongeze mashambulizi zaidi.
Marioo, naona, anapewa maelezo pale nini cha kufanya..
Acha tuone gen z kama wata change gia angani huwa nawaamini kwenye mshambulizi ya kustukiza
Moja ya mbinu yao ni katikati ya mchezo wanacheza chenga na madoido maana lengo lao sio kushinda tu hii game yao, bali pia wapinzani wasahau kuhusu LIGI KUU
Wapo kazini.
Gen Z wameletewa propaganda, ime-tick, na mdogo mdogo nikiangalia nadhani wasanii wanazidi kuikamata hii mechi kimasihara.
Kwasasa, ubao ni 1-2 wasanii wamechomoa, na soon wasanii wanarudi kwenye mchezo rasmi.
Majizo kapiga bonge moja la assist ⚽️.
Mashambulizi yao sio ya kustukiza ni mipango kuanzia golini.
Mond anatokea sub Kocha akaona aongeze mashambulizi zaidi.
Marioo, naona, anapewa maelezo pale nini cha kufanya..
Acha tuone gen z kama wata change gia angani huwa nawaamini kwenye mshambulizi ya kustukiza