Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,397
- 3,492
Wale mnaosema Haaland ni bonge la mtu basi mje muone jitu la miraba minne huku.
Pichani ni mcheza kikapu wa NBA ambaye ni Msenegal akiwa na wachezaji wa Man City akiwemo Haaland.
Pichani ni mcheza kikapu wa NBA ambaye ni Msenegal akiwa na wachezaji wa Man City akiwemo Haaland.