Mchepuko

Mchepuko

Huwa najiuliza hivi nina wivu au uchoyo?Sipendi ku-share mwanamke na dume mwenzangu hata aweje!Ee..mugabho,poole!
 
Kuchepuka siyo dili,ni USHAMBA,na wewe ni MSHAMBA MKUBWA.
Mheshimu Mungu,
Iheshimu ndoa yako,
Mheshimu mkeo.
UZINZI NI DHAMBI,
NA MSHAHARA WA DHAMBI NI MAUTI.
Usifikiri Mungu hakuoni,anakulia timing.
Subiri Counter attack inakuja.

Ayaaaaa....mnatuharibia soko jamani
 
Wanajamii heshima kwenu,
Hii ni stori ya kweli,so makinika
Nimekuwa na mchepuko Kwa takribani Kama miaka mitatu sasa,mtaani wanaita
nyumba ndogo.
Huyu mchepuko Ana age range ya 27-34 na bado hajaolewa.
Mara ya Kwanza kukutana nae alinielezea jinsi mwalimu wa shule moja Moro
aliyekuwa nae kimapenzi alivyomtenda na out of sympathy nikaamua niwe
Naye-kumbuka sikuwahi kuwa na mchepuko in my lifetime.Alilia sana that
day nakumbuka tulikuwa some place karibu na Police officers mess Dar es
salaam.
After that akawa official sex toy coz ilikuwa ni free P Kwa kwenda mbele
though wakati mwingine nlitoa huduma mbalimbali of which she didn't
care much,Huyu dada ni mzuri balaa.
Kilichonifanya kuandika yote haya;
Huyu dada nimeshamfumania Mara Tatu since we met and Mara ya mwisho
alinikana kabisa kuwa Mimi siyo mpenzi wake na hanijui.Mimi nilikuwa
mpole coz that day home nilikuwa na wageni kutoka Kigoma nyumbani so
wasingenielewa movement zangu za Usiku,so nikawa mvumilivu.Ila cha ajabu
asubuhi yake Huyu dada alikuja kuniomba msamaha na kujutia alichofanya
na kudai ni pombe.
Nlimpiga chini na kuachana nae kabisa,ila sasa juzi Hapa nimemuona
kapendeza sana na anagradute soon,akaniomba hela ya saloon na Nguo za
graduation.Nimejikuta nimesahau kila Alichonifanyia nikamnunulia kila
kitu na bado nikaendeleza kupiga papuchi yake Kama kawaida.Nafsi
inanisuta Kwa kurudia matapishi ila pia nimefika mwisho wa kufikiri.
Je ninaweza kumwacha Huyu kweli au ndo kashanisafiria kwao
Asanteni

si uongo mchepuko mtam sana nimecheka eti kapendezaaa ahaaaa hakuna simba mbele ya k. na mm nitumie mpesa niende saloon
 
gentleman's decision
'usirudie matapishi yako' hata kama yameongezwa fleva,hiyo inadhihirisha
jinsi ulivo cheap na unavoendekeza tamaa,watu dizaini hii hushia pabaya
sana kwa kuuliwa au kuambukizwa maradhi,si vibaya kumsaidia ila hakuna
kukumbushia,endelea kuwachekea utajalia na kusaga meno,kuwa na
msinamo

uko sawa mkuu na mimi sirudiagi matapishi ila mleta uzi kanichekesha sana
 
Nisiwe muongo Kwa kweli sijui mkuu

Basi kama hujuhi hata wewe mwenyewe mwenye mchepuko 7bu ya kuwa na mchepuko, acha kabisa hiyo tabia, how comes unafanya kitu bila kujua kwa nn unafanya! Ukiendelea utakuwa wa ajabu na Lazima Mungu atakuchapa bakora! Ni ushauri tuu!
 
Kuchepuka siyo dili,ni USHAMBA,na wewe ni MSHAMBA MKUBWA.
Mheshimu Mungu,
Iheshimu ndoa yako,
Mheshimu mkeo.
UZINZI NI DHAMBI,
NA MSHAHARA WA DHAMBI NI MAUTI.
Usifikiri Mungu hakuoni,anakulia timing.
Subiri Counter attack inakuja.
Mmmh....
Rahisi sana kusema
 
alafu wewe ni mwongo ask me why ,,... wewe ni frankclemence ulitafuta mchumba kwa matusu humu umebadilisha username naona unaleta swaga za uongo uongo tu
 
kwa pozi na dharau akajifanya amenisahau/
akaniona takataka mbele ya washika dau/
ilibidi niondoke machozi yakinilenga/
shetani kashanitega na tunda langu kamega/

#nikusaidiaje Prof j
kumbe huyu jamaa aliimba ukweli

najaribu kuwaza kwa maandishi
 
Last edited by a moderator:
jibu nitalokupa mm nahs jf ntatolewa endelea tu kuchua uxhaur kwa pipoz wengine mwaya
 
Kumbe mchepuko tu anahaki ya kufanya chochote atakacho, endelea naye hadi kale ka ugonjwa kakupate.
 
Kuchepuka siyo dili,ni USHAMBA,na wewe ni MSHAMBA MKUBWA.
Mheshimu Mungu,
Iheshimu ndoa yako,
Mheshimu mkeo.
UZINZI NI DHAMBI,
NA MSHAHARA WA DHAMBI NI MAUTI.
Usifikiri Mungu hakuoni,anakulia timing.
Subiri Counter attack inakuja.

mkuu unatumia kinywaji gani???
 
Back
Top Bottom