Aisee kitu kimeanza kusumbua ngoja nikatafute mchepuko...
Me hata niwe na jicho moja....timbwili lazima
hata kama mbovu sisi wengine ni madereva na mafundi so hatuhitaji utingo,hata kama anaswimingpool tukausha.Yawezekana akawa mzuri mashine mbovuu
Hayupo serious huyo!
njia kuu acha yapite malori..Baki njia kuu michepuko sio dili
hata kama mbovu sisi wengine ni madereva na mafundi so hatuhitaji utingo,hata kama anaswimingpool tukausha.
Si ndo hapo sasa....sasa ana uzuri gani wakututishia amani ya nchi.Kila mwanamke ni mzuri sema matunzo tu
miss strong hilo limtoka moyoni kweli?kwakweli huyo binti ni mzuri kwa sura muogope Mungu msifie tu hata usiogope.
Umeamua kumuweka miss neddy kwenye avatar kweli unampenda lol
Acha maneno yako.....mwanamke mashine asikudanganye mtu
Hahahaaa unamsingizia wifi yangu cheupe dawa....picha yangu hii
Yani umenifanya niivutie hisia mashine yako...heheheh
Me hata niwe na jicho moja....timbwili lazima
View attachment 182799 Ni Sheeder!!