Sheffer95
JF-Expert Member
- Mar 16, 2020
- 274
- 771
Ama kweli mshika kumi, kenda humponyoka.
Leo ndio nimejua ni maumivu kiasi gani mwanaume hupata pale mchepuko wake mtiifu akiolewa.
Niko home nasikiliza ngoma ya mapacha watatu ya "kuachwa kuachwa, kuachwa ni shughuli pevu mbaya zaidi kwa uliyempenda yeye ananenepa wewe unakonda".
Wife anashangaa imekuaje nimerudi mapema sana leo na nimekuwa mkimya sana. Daah kwa nilipofikia natamani hata nimuhadithie yaliyonikuta.
Hivi ndugu zangu nyie huwa mnafanyaje kutoka katika hali hii?
Maana jamaa alivyo na roho mbaya, yaani kaamua kumuhamisha kabisa mkoa. Sasa mimi nifanyeje?
Leo ndio nimejua ni maumivu kiasi gani mwanaume hupata pale mchepuko wake mtiifu akiolewa.
Niko home nasikiliza ngoma ya mapacha watatu ya "kuachwa kuachwa, kuachwa ni shughuli pevu mbaya zaidi kwa uliyempenda yeye ananenepa wewe unakonda".
Wife anashangaa imekuaje nimerudi mapema sana leo na nimekuwa mkimya sana. Daah kwa nilipofikia natamani hata nimuhadithie yaliyonikuta.
Hivi ndugu zangu nyie huwa mnafanyaje kutoka katika hali hii?
Maana jamaa alivyo na roho mbaya, yaani kaamua kumuhamisha kabisa mkoa. Sasa mimi nifanyeje?