Mchepuko wa zamani anataka tuendeleze mahaba

Mchepuko wa zamani anataka tuendeleze mahaba

Nakubaliana na mawazo yenu kabisa na mimi sielewi lengo lake kabisa la kutaka kuendelea kutiana na mimi. Naona kabisa anampenda huyu mtu wake mpya ila yeye anasisitiza tuendelee na mahusiano kwa siri and she does not care kama nitamuona malaya au la ila yeye bado ananipenda sana.
 
Kuna dada tulikuwa wote kwa miaka zaidi ya nane ila tulikuja kuachana baada ya kuwa amepata mtu ambae ana mpango wa kuishi nae.

Tulikaa tukakubaliana kabisa tufike mwisho. Sasa hivi tuna mwaka mmoja hatuko wote na yule jamaa bado wako nae na mimi niko na mke wangu..

Kinachonishangaza sasa hivi anasema bado ananipenda na anataka tuendelee kusex kwa siri.

Je, niendelee jamani?
Endelea tuu kaka sii raha mnapata wote tatizo liko wapi
 
Nakubaliana na mawazo yenu kabisa na mimi sielewi lengo lake kabisa la kutaka kuendelea kutiana na mimi. Naona kabisa anampenda huyu mtu wake mpya ila yeye anasisitiza tuendelee na mahusiano kwa siri and she does not care kama nitamuona malaya au la ila yeye bado ananipenda sana.
Utamuona malaya ...kivipi tena kwani hukumuona kama malaya wakati mnagegedana bila ndoa
 
w
Kuna dada tulikuwa wote kwa miaka zaidi ya nane ila tulikuja kuachana baada ya kuwa amepata mtu ambae ana mpango wa kuishi nae.

Tulikaa tukakubaliana kabisa tufike mwisho. Sasa hivi tuna mwaka mmoja hatuko wote na yule jamaa bado wako nae na mimi niko na mke wangu..

Kinachonishangaza sasa hivi anasema bado ananipenda na anataka tuendelee kusex kwa siri.

Je, niendelee jamani?
eka mbali na watoto,achana na hizo mambo kwani ukifanya tu ujue hata mkeo naye alikuwa na mwanaume wake kabla ya wewe hujamuoa. TAFAKARI,CHUKUA HATUA
 
Back
Top Bottom