Mchepuko unavyonitesa part 1

Mchepuko unavyonitesa part 1

Pole sana mkuu. Huyo dada amewasave wengi sana kwa herufi hasa anaokutana nao Kariakoo. Mwenye mali na "baba watoto" wengine endeleeni kuhudumia. Nakusahauri mrudie Rose utengeneze maisha yenu.
 
nina wasiwasi na uanaume wako.......

aaaaagrrrrrr kumbe waanaume kama nyie mpo bado

nimekuchukia tena sana sana
 
nina wasiwasi na uanaume wako.......

aaaaagrrrrrr kumbe waanaume kama nyie mpo bado

nimekuchukia tena sana sana

uanaume si kile kikatio sio?
so unadhani hana kikatio au kipo lakini hakisimami kukata?
lol lel lil
 
Nipe namba ya huyo manzii nimshauri jinsi ya kukuacha ……lofa wewe unagongewa unatoa macho tu pambafu sana
 
endelea kushika pembe maana Abraham wake unamjua ila unajichetua.
Mwenzio kakugeuza kitega uchumi chake mweh mweh mweh unasubiri embe dodo chini ya mlimao.

umemaliza kila kitu mkuu.
 
Wanaume bwana! Nakuonea huruma jinsi ulivyolishwa milimbwata mpaka ya machoni eti sita kwa sita. Huyo kashachanjiwa dawa huko kwa bibi we unamuona ni fundi kumbe unasleep na pepo lililowekwa huko kwa bibi ha ha ha. Hivi kutulia kwani sh ngapi??? Eee??? Sasa kwa taarifa yako ukimuoa huyo ujue utajutia maisha yako yote coz utamtunza yeye baba watoto wake na ukoo wake mzima. Na manyanyaso juu. Upo hapo?! Penda unapopendwa baba usije ukakumbuka maneno yangu ukajuta. Shauri yako
 
Back
Top Bottom