- Thread starter
- #61
Matatizo hayo ingia Uislam, umemaliza. Waislam wanaoana mpaka wanne, wewe na uwezo wako tu.
Na hauna haja tena ya kufanya dhambi ya uasherati kama ilivyo sasa.
Utaratibu ukoje kuingia huko?
Matatizo hayo ingia Uislam, umemaliza. Waislam wanaoana mpaka wanne, wewe na uwezo wako tu.
Na hauna haja tena ya kufanya dhambi ya uasherati kama ilivyo sasa.
Nimejikuta naona aibu kama hii mada ameileta kaka yangu jukwaani, huo ni uvivu wa kutafuta na kupenda vya kupewa na mara nyingi ukipenda vya kupewa basi unakuwa hauna maamuzi unapelekeshwa tu, Ushauri wangu mimi tafuta kazi sio mashirika yote yanayolipa 700,000 kuna mengine yanalipa ata 7million kwa mwezi, kwa mfano Kampuni za gas hizi, pili tafuta mtaji fungua biashara, mke wako ataisimamia hiyo biashara akimaliza short course yake, Usije ukasingizia hauna pesa ya kufungulia biashara kuna bank kibao zinatoa mikopo, chukua ata 3million weka kibanda ya MPESA,TIGO PESA utaendelea kaka yangu, huyo mwanamke anaekuhudumia hujamuweka ndani anakuwa mcharo sababu yupo nje, ukimuweka ndani utamkumbuka mwanakijiji wako, matusi yote ya mjini utayapata wewe mfano usinibabaishe kwanza mjini unakaa kwa nguvu yangu, huo ni ushauri tu akili kumkichwa
Rejea kichwa cha somo hapo juu
Wakuu nimedumu kweñye ndoa kwa miaka 11 sasa,
Hivi karibuni mchepuko wangu Wa miaka mingi unataka nimuache wife ili niuchukue wenyewe kulingana na mkataba usio rasmi tulioingia miaka kama saba hivi iliopita
Wakuu ipo hivi:
Nilipoingia chuo mwaka 2000 nilikutana na binti mmoja ambae baada ya mapenzi kunoga tuliamua kuishi chumba kimoja nje ya chuo hii ilitokana zaidi na uwezo mdogo aliokuwa nao darasani ivo tukaishi pamoja ili tupate muda mwingi Wa mm kumsaidia kimasomo
Tulidumu hivyo kwa miaka yote mitatu hadi tunamaliza chuo ahadi yetu ikiwa no kuoana
Baada ya chuo nilipata kazi na kuanza maisha ya Mtaani, naye pia alipata kazi tena ya maana sana kuzidi yangu
Baada ya miaka miwili ya kazi nadhan ilikua 2005, mama yangu aliniletea binti kutoka nyumbani kwetu ili nimuoe
Kutokana na mama alivyohangaikia ada yangu ya chuo kipindi nasoma nilishindwa kumkatalia
Maana alihangaika sana pale kijjini ikiwa ni pamoja na kupitisha bakuli
Hivyo 2005 nikamuoa huyo binti Wa mama bila kumpenda
Yule mchumba Wa chuo nikamweleza ukweli wrote aliumia sana na kuniita majina tote mabaya
2007 naye akaolewa na jamaa mmoja mwenye pesa kiasi
2008 tukajikuta shetani ametupitia tukaendelea na uhusiano kwa siri kubwa ikafikia hatua akadai tuwataliki watu wetu ili tuishi pamoja
Kiukweli mdada huyu amekua msaada mkubwa sana kwangu kiuchumi
Hii ni kutokana na ukweli kwamba mshahara wangu haukutani nikilipwa Leo wiki tu umeisha na bado mahitaji ndani ni mengi, na ukizingatia Nina watoto watatu na mke ni mama Wa nyumbani
Hivyo basi huo mchepuko ndio umekua uki fill hiyo gap ya mshahara
Kila mwezi ninapolipwa laki saba ya mshahara mchepuko huniongezea million moja kutoka kwenye mshahara wake Wa 2.5 hivo anabaki na 1.5
Mimi nakua na 1.7 kwa utaratibu huu nimeweza kujenga nyumba ya vyumba vitatu
Pia mchepuko hunisaidia mambo mengi sana, mfano mama alikua na kidney problem huyu mdada alifanikisha gharama kubwa tu ya matibabu
Mchepuko huu ndoa yake ina halo mbaya sana, mume kwa miaka mingi huwa anakuja home kubadilisha nguo tu na kupotea wiki kadhaa kabla ya kurudi tena kuchukua nguo na hadi Leo hawana mtoto yangu 2007 waoane
Sasa mchepuko umechoka kunisubiri ni malalamiko 24/7 kwamba tulikubaliana tuwaache watu wetu tuishi pamoja
Kiukweli mke wangu mwanzo sikua nampenda ila baadae nikajifunza kumpenda
Na hii imetokana na tabia yake nzuri
Ni mcha mungu, amekua mama bora Wa familia, hajawahi kunikosea makosa makubwa kama uzinzi
Kwa upande mwingine msaada Wa huu mchepuko bado nauhitaji, hiyo milioni moja ikiondoka nitabaki na laki saba yangu ambayo haitoshi ukichukulia kuwa watoto wote watatu wanasoma, mama yao nilimpeleka University computing center, sasa amemaliza certificate, then aendelee na diploma
Pia kuna mdogo wangu ametimuliwa kazi na sasa karudi kuishi kwangu hali ni tete
Wakuu nipo njia panda
Mchepuko hautaki kuendelea na status quo
In fact hivi sasa umeondoka kweñye matrimonial home umeenda kweñye nyumba yake
Shida ipo kwangu
Nifanyeje wakuu?
Acha uzinzi na umario wakati unamke wewe, tafata njia mbadala ya kuongeza kipato ili ndoa yako isiyumbe, utamletea magonjwa mwanamke wa watu kwasababu ya tamaa tu.
Hilo haliitaji msaada kwa mwanaume tafuta njia nyingine halali ya kukuongezea pesa
Dunia haiishi vituko. Kwa hiyo unachukua pesa za mchepuko kuendesha familia yako na upo very comfortable?
Mkuu naona hako kamilioni unakohongwa kila mwezi ndio kanakuchanganya.
Utaratibu ukoje kuingia huko?
Wife una hekima kama Maria MagdalenaAingie uislamu kwa kuwa anaweza kuoa wake wanne au aingie uislamu kwa kuwa kaamini????
Mama sio tamaa ni bond iliyopo kati yangu na huo mchepuko
Mkuu ... Malipo duniani.. !! wewe ushajaaliwa mke,watoto na baba nyumba, mkuu shukuru hilo....Kama ni kujali utu inatakiwa nimuonee huruma huyu tuliyetokanae chuo ambae amejitoa kwa hali na mali