Mchepuko unataka nimuache wife

Mchepuko unataka nimuache wife

wise one

Member
Joined
Sep 29, 2014
Posts
35
Reaction score
18
Rejea kichwa cha somo hapo juu

Wakuu nimedumu kweñye ndoa kwa miaka 11 sasa,

Hivi karibuni mchepuko wangu Wa miaka mingi unataka nimuache wife ili niuchukue wenyewe kulingana na mkataba usio rasmi tulioingia miaka kama saba hivi iliopita

Wakuu ipo hivi:
Nilipoingia chuo mwaka 2000 nilikutana na binti mmoja ambae baada ya mapenzi kunoga tuliamua kuishi chumba kimoja nje ya chuo hii ilitokana zaidi na uwezo mdogo aliokuwa nao darasani ivo tukaishi pamoja ili tupate muda mwingi Wa mm kumsaidia kimasomo

Tulidumu hivyo kwa miaka yote mitatu hadi tunamaliza chuo ahadi yetu ikiwa no kuoana

Baada ya chuo nilipata kazi na kuanza maisha ya Mtaani, naye pia alipata kazi tena ya maana sana kuzidi yangu

Baada ya miaka miwili ya kazi nadhan ilikua 2005, mama yangu aliniletea binti kutoka nyumbani kwetu ili nimuoe
Kutokana na mama alivyohangaikia ada yangu ya chuo kipindi nasoma nilishindwa kumkatalia

Maana alihangaika sana pale kijjini ikiwa ni pamoja na kupitisha bakuli

Hivyo 2005 nikamuoa huyo binti Wa mama bila kumpenda
Yule mchumba Wa chuo nikamweleza ukweli wrote aliumia sana na kuniita majina tote mabaya

2007 naye akaolewa na jamaa mmoja mwenye pesa kiasi

2008 tukajikuta shetani ametupitia tukaendelea na uhusiano kwa siri kubwa ikafikia hatua akadai tuwataliki watu wetu ili tuishi pamoja

Kiukweli mdada huyu amekua msaada mkubwa sana kwangu kiuchumi
Hii ni kutokana na ukweli kwamba mshahara wangu haukutani nikilipwa Leo wiki tu umeisha na bado mahitaji ndani ni mengi, na ukizingatia Nina watoto watatu na mke ni mama Wa nyumbani

Hivyo basi huo mchepuko ndio umekua uki fill hiyo gap ya mshahara
Kila mwezi ninapolipwa laki saba ya mshahara mchepuko huniongezea million moja kutoka kwenye mshahara wake Wa 2.5 hivo anabaki na 1.5

Mimi nakua na 1.7 kwa utaratibu huu nimeweza kujenga nyumba ya vyumba vitatu

Pia mchepuko hunisaidia mambo mengi sana, mfano mama alikua na kidney problem huyu mdada alifanikisha gharama kubwa tu ya matibabu

Mchepuko huu ndoa yake ina halo mbaya sana, mume kwa miaka mingi huwa anakuja home kubadilisha nguo tu na kupotea wiki kadhaa kabla ya kurudi tena kuchukua nguo na hadi Leo hawana mtoto yangu 2007 waoane

Sasa mchepuko umechoka kunisubiri ni malalamiko 24/7 kwamba tulikubaliana tuwaache watu wetu tuishi pamoja
Kiukweli mke wangu mwanzo sikua nampenda ila baadae nikajifunza kumpenda
Na hii imetokana na tabia yake nzuri

Ni mcha mungu, amekua mama bora Wa familia, hajawahi kunikosea makosa makubwa kama uzinzi

Kwa upande mwingine msaada Wa huu mchepuko bado nauhitaji, hiyo milioni moja ikiondoka nitabaki na laki saba yangu ambayo haitoshi ukichukulia kuwa watoto wote watatu wanasoma, mama yao nilimpeleka University computing center, sasa amemaliza certificate, then aendelee na diploma

Pia kuna mdogo wangu ametimuliwa kazi na sasa karudi kuishi kwangu hali ni tete

Wakuu nipo njia panda
Mchepuko hautaki kuendelea na status quo
In fact hivi sasa umeondoka kweñye matrimonial home umeenda kweñye nyumba yake
Shida ipo kwangu
Nifanyeje wakuu?
 
Acha uzinzi na umario wakati unamke wewe, tafata njia mbadala ya kuongeza kipato ili ndoa yako isiyumbe, utamletea magonjwa mwanamke wa watu kwasababu ya tamaa tu.
 
Kwanza wewe mwenyewe unafikiria kufanya nini? Tuanzie hapo kwanza ndo tukushauri.

Ila kwa tahadhari tu, Ukishamuacha mkeo utapewa shinikizo jingine la kuwaacha wanao. Uko tayari kwa hilo?

Fikiria kwanza wanao kabla hujamfikiria mke wala mchepuko.

Nimesema mimi babu yenu ODM kwa upendo wa Agape kwa wajukuu zangu.
 
Rejea kichwa cha somo hapo juu

Wakuu nimedumu kweñye ndoa kwa miaka 11 sasa,

Hivi karibuni mchepuko wangu Wa miaka mingi unataka nimuache wife ili niuchukue wenyewe kulingana na mkataba usio rasmi tulioingia miaka kama saba hivi iliopita

Wakuu ipo hivi:
Nilipoingia chuo mwaka 2000 nilikutana na binti mmoja ambae baada ya mapenzi kunoga tuliamua kuishi chumba kimoja nje ya chuo hii ilitokana zaidi na uwezo mdogo aliokuwa nao darasani ivo tukaishi pamoja ili tupate muda mwingi Wa mm kumsaidia kimasomo

Tulidumu hivyo kwa miaka yote mitatu hadi tunamaliza chuo ahadi yetu ikiwa no kuoana

Baada ya chuo nilipata kazi na kuanza maisha ya Mtaani, naye pia alipata kazi tena ya maana sana kuzidi yangu

Baada ya miaka miwili ya kazi nadhan ilikua 2005, mama yangu aliniletea binti kutoka nyumbani kwetu ili nimuoe
Kutokana na mama alivyohangaikia ada yangu ya chuo kipindi nasoma nilishindwa kumkatalia

Maana alihangaika sana pale kijjini ikiwa ni pamoja na kupitisha bakuli

Hivyo 2005 nikamuoa huyo binti Wa mama bila kumpenda
Yule mchumba Wa chuo nikamweleza ukweli wrote aliumia sana na kuniita majina tote mabaya

2007 naye akaolewa na jamaa mmoja mwenye pesa kiasi

2008 tukajikuta shetani ametupitia tukaendelea na uhusiano kwa siri kubwa ikafikia hatua akadai tuwataliki watu wetu ili tuishi pamoja

Kiukweli mdada huyu amekua msaada mkubwa sana kwangu kiuchumi
Hii ni kutokana na ukweli kwamba mshahara wangu haukutani nikilipwa Leo wiki tu umeisha na bado mahitaji ndani ni mengi, na ukizingatia Nina watoto watatu na mke ni mama Wa nyumbani

Hivyo basi huo mchepuko ndio umekua uki fill hiyo gap ya mshahara
Kila mwezi ninapolipwa laki saba ya mshahara mchepuko huniongezea million moja kutoka kwenye mshahara wake Wa 2.5 hivo anabaki na 1.5

Mimi nakua na 1.7 kwa utaratibu huu nimeweza kujenga nyumba ya vyumba vitatu

Pia mchepuko hunisaidia mambo mengi sana, mfano mama alikua na kidney problem huyu mdada alifanikisha gharama kubwa tu ya matibabu

Mchepuko huu ndoa yake ina halo mbaya sana, mume kwa miaka mingi huwa anakuja home kubadilisha nguo tu na kupotea wiki kadhaa kabla ya kurudi tena kuchukua nguo na hadi Leo hawana mtoto yangu 2007 waoane

Sasa mchepuko umechoka kunisubiri ni malalamiko 24/7 kwamba tulikubaliana tuwaache watu wetu tuishi pamoja
Kiukweli mke wangu mwanzo sikua nampenda ila baadae nikajifunza kumpenda
Na hii imetokana na tabia yake nzuri

Ni mcha mungu, amekua mama bora Wa familia, hajawahi kunikosea makosa makubwa kama uzinzi

Kwa upande mwingine msaada Wa huu mchepuko bado nauhitaji, hiyo milioni moja ikiondoka nitabaki na laki saba yangu ambayo haitoshi ukichukulia kuwa watoto wote watatu wanasoma, mama yao nilimpeleka University computing center, sasa amemaliza certificate, then aendelee na diploma

Pia kuna mdogo wangu ametimuliwa kazi na sasa karudi kuishi kwangu hali ni tete

Wakuu nipo njia panda
Mchepuko hautaki kuendelea na status quo
In fact hivi sasa umeondoka kweñye matrimonial home umeenda kweñye nyumba yake
Shida ipo kwangu
Nifanyeje wakuu?
umenipa hasira ghafla sijui umekula maharage ya wapi ww,nenda kavae pampasi urudi hapa ,
 
Rejea kichwa cha somo hapo juu

Wakuu nimedumu kweñye ndoa kwa miaka 11 sasa,

Hivi karibuni mchepuko wangu Wa miaka mingi unataka nimuache wife ili niuchukue wenyewe kulingana na mkataba usio rasmi tulioingia miaka kama saba hivi iliopita

Wakuu ipo hivi:
Nilipoingia chuo mwaka 2000 nilikutana na binti mmoja ambae baada ya mapenzi kunoga tuliamua kuishi chumba kimoja nje ya chuo hii ilitokana zaidi na uwezo mdogo aliokuwa nao darasani ivo tukaishi pamoja ili tupate muda mwingi Wa mm kumsaidia kimasomo

Tulidumu hivyo kwa miaka yote mitatu hadi tunamaliza chuo ahadi yetu ikiwa no kuoana

Baada ya chuo nilipata kazi na kuanza maisha ya Mtaani, naye pia alipata kazi tena ya maana sana kuzidi yangu

Baada ya miaka miwili ya kazi nadhan ilikua 2005, mama yangu aliniletea binti kutoka nyumbani kwetu ili nimuoe
Kutokana na mama alivyohangaikia ada yangu ya chuo kipindi nasoma nilishindwa kumkatalia

Maana alihangaika sana pale kijjini ikiwa ni pamoja na kupitisha bakuli

Hivyo 2005 nikamuoa huyo binti Wa mama bila kumpenda
Yule mchumba Wa chuo nikamweleza ukweli wrote aliumia sana na kuniita majina tote mabaya

2007 naye akaolewa na jamaa mmoja mwenye pesa kiasi

2008 tukajikuta shetani ametupitia tukaendelea na uhusiano kwa siri kubwa ikafikia hatua akadai tuwataliki watu wetu ili tuishi pamoja

Kiukweli mdada huyu amekua msaada mkubwa sana kwangu kiuchumi
Hii ni kutokana na ukweli kwamba mshahara wangu haukutani nikilipwa Leo wiki tu umeisha na bado mahitaji ndani ni mengi, na ukizingatia Nina watoto watatu na mke ni mama Wa nyumbani

Hivyo basi huo mchepuko ndio umekua uki fill hiyo gap ya mshahara
Kila mwezi ninapolipwa laki saba ya mshahara mchepuko huniongezea million moja kutoka kwenye mshahara wake Wa 2.5 hivo anabaki na 1.5

Mimi nakua na 1.7 kwa utaratibu huu nimeweza kujenga nyumba ya vyumba vitatu

Pia mchepuko hunisaidia mambo mengi sana, mfano mama alikua na kidney problem huyu mdada alifanikisha gharama kubwa tu ya matibabu

Mchepuko huu ndoa yake ina halo mbaya sana, mume kwa miaka mingi huwa anakuja home kubadilisha nguo tu na kupotea wiki kadhaa kabla ya kurudi tena kuchukua nguo na hadi Leo hawana mtoto yangu 2007 waoane

Sasa mchepuko umechoka kunisubiri ni malalamiko 24/7 kwamba tulikubaliana tuwaache watu wetu tuishi pamoja
Kiukweli mke wangu mwanzo sikua nampenda ila baadae nikajifunza kumpenda
Na hii imetokana na tabia yake nzuri

Ni mcha mungu, amekua mama bora Wa familia, hajawahi kunikosea makosa makubwa kama uzinzi

Kwa upande mwingine msaada Wa huu mchepuko bado nauhitaji, hiyo milioni moja ikiondoka nitabaki na laki saba yangu ambayo haitoshi ukichukulia kuwa watoto wote watatu wanasoma, mama yao nilimpeleka University computing center, sasa amemaliza certificate, then aendelee na diploma

Pia kuna mdogo wangu ametimuliwa kazi na sasa karudi kuishi kwangu hali ni tete

Wakuu nipo njia panda
Mchepuko hautaki kuendelea na status quo
In fact hivi sasa umeondoka kweñye matrimonial home umeenda kweñye nyumba yake
Shida ipo kwangu
Nifanyeje wakuu?

Pumba.fu kabisa. kwani kabla ya kuanza kuzini kwa nini hukutafuta ushauri?.
 
Tushauri tukushauri nini.
 
Wajinga ndio waliwao shoga kweli ww kaa na mkeo mlee watoto ---- we unapenda kulelewa mwishowe utakuja kutuambia mchepuko umeongezewa mshahara kwahiyo kaniambia niache kazi jinga kabisa.
 
Daah huu mkasa kama tamthiliaa....nitamalizia kusoma baadae
 
Nimejikuta naona aibu kama hii mada ameileta kaka yangu jukwaani, huo ni uvivu wa kutafuta na kupenda vya kupewa na mara nyingi ukipenda vya kupewa basi unakuwa hauna maamuzi unapelekeshwa tu, Ushauri wangu mimi tafuta kazi sio mashirika yote yanayolipa 700,000 kuna mengine yanalipa ata 7million kwa mwezi, kwa mfano Kampuni za gas hizi, pili tafuta mtaji fungua biashara, mke wako ataisimamia hiyo biashara akimaliza short course yake, Usije ukasingizia hauna pesa ya kufungulia biashara kuna bank kibao zinatoa mikopo, chukua ata 3million weka kibanda ya MPESA,TIGO PESA utaendelea kaka yangu, huyo mwanamke anaekuhudumia hujamuweka ndani anakuwa mcharo sababu yupo nje, ukimuweka ndani utamkumbuka mwanakijiji wako, matusi yote ya mjini utayapata wewe mfano usinibabaishe kwanza mjini unakaa kwa nguvu yangu, huo ni ushauri tu akili kumkichwa
 
Dunia haiishi vituko. Kwa hiyo unachukua pesa za mchepuko kuendesha familia yako na upo very comfortable?
 
Yaan...duuu...iv tuseme mchepuko kapata ajali akafa utasemaje????uwiii pigana kiumeee.....
 
Mi nakushauri kamuache mkeo fasta ili uwe na mchepuko
 
Unashida kubwa wewe! Yaani mkeo humpendi ulimuoa kwa shinikizo la mama yako(hapa automaticaly unataka kujustify sababu ya kuendelea kuchepuka)

Huo mchepuko wako sugu ulikuwa nae kwa kumsaidia chuoni na hamkupanga kuoana, ila ana maisha mazuri na unapenda 'hela' yake.(Hauko kimapenzi sana kwake)ndio maana unawazia hiyo hela anayokuongezea.

Sasa najiuliza tumeumbwa tukiwa na moyo mmoja!huu moyo unapenda wangapi kwa wakati mmoja? Hivi real love inatokea mara ngapi kwa mtu? Unaweza kumpenda mtu real kabisa then mkaachana ukampate mwingine mkapendana kwa mapenzi ya dhati kabisa kama penzi la awali?

Mpaka umefika hapa tayari yamekushinda ndugu, wa mjini wanasema hauna 'key' umeshikika hautoki. Pole sana.

Maamuzi ya maisha yako na faamilia yako ni muhimu kuyatafaaakari mwenyewe kwa upana wake. Ushauri wa watu ukichukua hapa kesho utarudi kulalamika na jingine. Jenga uwezo wa kutatua mustakabali wa maisha yako mwenyewe.

Sent from JamiiForums
 
Wewe akili yako ipo kwenye fedha tu!! wewe unajali pesa na siyo utu !! yaani millioni 1 ndo umtose mama watoto wako..????????????!!!
 
Badili mfumo wa maisha yako, jipange achana na huyo shetani anaetaka uache familia..
 
Kama ni muislam ongeza jiko..
Kama co muislam hamia uislam din inarhsu
 
Back
Top Bottom