Rejea kichwa cha somo hapo juu
Wakuu nimedumu kweñye ndoa kwa miaka 11 sasa,
Hivi karibuni mchepuko wangu Wa miaka mingi unataka nimuache wife ili niuchukue wenyewe kulingana na mkataba usio rasmi tulioingia miaka kama saba hivi iliopita
Wakuu ipo hivi:
Nilipoingia chuo mwaka 2000 nilikutana na binti mmoja ambae baada ya mapenzi kunoga tuliamua kuishi chumba kimoja nje ya chuo hii ilitokana zaidi na uwezo mdogo aliokuwa nao darasani ivo tukaishi pamoja ili tupate muda mwingi Wa mm kumsaidia kimasomo
Tulidumu hivyo kwa miaka yote mitatu hadi tunamaliza chuo ahadi yetu ikiwa no kuoana
Baada ya chuo nilipata kazi na kuanza maisha ya Mtaani, naye pia alipata kazi tena ya maana sana kuzidi yangu
Baada ya miaka miwili ya kazi nadhan ilikua 2005, mama yangu aliniletea binti kutoka nyumbani kwetu ili nimuoe
Kutokana na mama alivyohangaikia ada yangu ya chuo kipindi nasoma nilishindwa kumkatalia
Maana alihangaika sana pale kijjini ikiwa ni pamoja na kupitisha bakuli
Hivyo 2005 nikamuoa huyo binti Wa mama bila kumpenda
Yule mchumba Wa chuo nikamweleza ukweli wrote aliumia sana na kuniita majina tote mabaya
2007 naye akaolewa na jamaa mmoja mwenye pesa kiasi
2008 tukajikuta shetani ametupitia tukaendelea na uhusiano kwa siri kubwa ikafikia hatua akadai tuwataliki watu wetu ili tuishi pamoja
Kiukweli mdada huyu amekua msaada mkubwa sana kwangu kiuchumi
Hii ni kutokana na ukweli kwamba mshahara wangu haukutani nikilipwa Leo wiki tu umeisha na bado mahitaji ndani ni mengi, na ukizingatia Nina watoto watatu na mke ni mama Wa nyumbani
Hivyo basi huo mchepuko ndio umekua uki fill hiyo gap ya mshahara
Kila mwezi ninapolipwa laki saba ya mshahara mchepuko huniongezea million moja kutoka kwenye mshahara wake Wa 2.5 hivo anabaki na 1.5
Mimi nakua na 1.7 kwa utaratibu huu nimeweza kujenga nyumba ya vyumba vitatu
Pia mchepuko hunisaidia mambo mengi sana, mfano mama alikua na kidney problem huyu mdada alifanikisha gharama kubwa tu ya matibabu
Mchepuko huu ndoa yake ina halo mbaya sana, mume kwa miaka mingi huwa anakuja home kubadilisha nguo tu na kupotea wiki kadhaa kabla ya kurudi tena kuchukua nguo na hadi Leo hawana mtoto yangu 2007 waoane
Sasa mchepuko umechoka kunisubiri ni malalamiko 24/7 kwamba tulikubaliana tuwaache watu wetu tuishi pamoja
Kiukweli mke wangu mwanzo sikua nampenda ila baadae nikajifunza kumpenda
Na hii imetokana na tabia yake nzuri
Ni mcha mungu, amekua mama bora Wa familia, hajawahi kunikosea makosa makubwa kama uzinzi
Kwa upande mwingine msaada Wa huu mchepuko bado nauhitaji, hiyo milioni moja ikiondoka nitabaki na laki saba yangu ambayo haitoshi ukichukulia kuwa watoto wote watatu wanasoma, mama yao nilimpeleka University computing center, sasa amemaliza certificate, then aendelee na diploma
Pia kuna mdogo wangu ametimuliwa kazi na sasa karudi kuishi kwangu hali ni tete
Wakuu nipo njia panda
Mchepuko hautaki kuendelea na status quo
In fact hivi sasa umeondoka kweñye matrimonial home umeenda kweñye nyumba yake
Shida ipo kwangu
Nifanyeje wakuu?
Wakuu nimedumu kweñye ndoa kwa miaka 11 sasa,
Hivi karibuni mchepuko wangu Wa miaka mingi unataka nimuache wife ili niuchukue wenyewe kulingana na mkataba usio rasmi tulioingia miaka kama saba hivi iliopita
Wakuu ipo hivi:
Nilipoingia chuo mwaka 2000 nilikutana na binti mmoja ambae baada ya mapenzi kunoga tuliamua kuishi chumba kimoja nje ya chuo hii ilitokana zaidi na uwezo mdogo aliokuwa nao darasani ivo tukaishi pamoja ili tupate muda mwingi Wa mm kumsaidia kimasomo
Tulidumu hivyo kwa miaka yote mitatu hadi tunamaliza chuo ahadi yetu ikiwa no kuoana
Baada ya chuo nilipata kazi na kuanza maisha ya Mtaani, naye pia alipata kazi tena ya maana sana kuzidi yangu
Baada ya miaka miwili ya kazi nadhan ilikua 2005, mama yangu aliniletea binti kutoka nyumbani kwetu ili nimuoe
Kutokana na mama alivyohangaikia ada yangu ya chuo kipindi nasoma nilishindwa kumkatalia
Maana alihangaika sana pale kijjini ikiwa ni pamoja na kupitisha bakuli
Hivyo 2005 nikamuoa huyo binti Wa mama bila kumpenda
Yule mchumba Wa chuo nikamweleza ukweli wrote aliumia sana na kuniita majina tote mabaya
2007 naye akaolewa na jamaa mmoja mwenye pesa kiasi
2008 tukajikuta shetani ametupitia tukaendelea na uhusiano kwa siri kubwa ikafikia hatua akadai tuwataliki watu wetu ili tuishi pamoja
Kiukweli mdada huyu amekua msaada mkubwa sana kwangu kiuchumi
Hii ni kutokana na ukweli kwamba mshahara wangu haukutani nikilipwa Leo wiki tu umeisha na bado mahitaji ndani ni mengi, na ukizingatia Nina watoto watatu na mke ni mama Wa nyumbani
Hivyo basi huo mchepuko ndio umekua uki fill hiyo gap ya mshahara
Kila mwezi ninapolipwa laki saba ya mshahara mchepuko huniongezea million moja kutoka kwenye mshahara wake Wa 2.5 hivo anabaki na 1.5
Mimi nakua na 1.7 kwa utaratibu huu nimeweza kujenga nyumba ya vyumba vitatu
Pia mchepuko hunisaidia mambo mengi sana, mfano mama alikua na kidney problem huyu mdada alifanikisha gharama kubwa tu ya matibabu
Mchepuko huu ndoa yake ina halo mbaya sana, mume kwa miaka mingi huwa anakuja home kubadilisha nguo tu na kupotea wiki kadhaa kabla ya kurudi tena kuchukua nguo na hadi Leo hawana mtoto yangu 2007 waoane
Sasa mchepuko umechoka kunisubiri ni malalamiko 24/7 kwamba tulikubaliana tuwaache watu wetu tuishi pamoja
Kiukweli mke wangu mwanzo sikua nampenda ila baadae nikajifunza kumpenda
Na hii imetokana na tabia yake nzuri
Ni mcha mungu, amekua mama bora Wa familia, hajawahi kunikosea makosa makubwa kama uzinzi
Kwa upande mwingine msaada Wa huu mchepuko bado nauhitaji, hiyo milioni moja ikiondoka nitabaki na laki saba yangu ambayo haitoshi ukichukulia kuwa watoto wote watatu wanasoma, mama yao nilimpeleka University computing center, sasa amemaliza certificate, then aendelee na diploma
Pia kuna mdogo wangu ametimuliwa kazi na sasa karudi kuishi kwangu hali ni tete
Wakuu nipo njia panda
Mchepuko hautaki kuendelea na status quo
In fact hivi sasa umeondoka kweñye matrimonial home umeenda kweñye nyumba yake
Shida ipo kwangu
Nifanyeje wakuu?