Cole Williams
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 35,166
- 201,235
Naskiaga mwanajeshi huwa hakimbii vita..... tena kwake ni heri afie vitani mkuu heheee
Kabisa Mkuu mwanajeshi haogopi kufa hata chembe
Naskiaga mwanajeshi huwa hakimbii vita..... tena kwake ni heri afie vitani mkuu heheee
Mchepuko unanilazimisha nisherehekee naye katika sikukuu ya chrismass
Sikukuu zote nimezoea kusherehekea na mke wangu pamoja na watoto,kwa kipindi hiki mchepuko ananipa mahaba yote na kunilazimisha niwe naye pamoja katika kusherehekea.Hapa nipo njia panda sijui nifanyeje wakuu...ndoa yangu naipenda na mchepuko nampenda pia kutokana na mnato alionao.Wakuu mnanishaurije?
ha ha ha ha maisha halisi mkuuMzee una mada za mchepuko nyingi kweli sema Fresh Tu kwa kuwa bundle ni lako wajazie JF server zao
Vp mimba yetu ishakua kua?!ha ha ha ha maisha halisi mkuu