YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,174
- 36,235
KUMEKUCHA KUMEKUCHA
MJE MTOE USHAURI
Jamani naombeni ushahuri hapa nipo nimevurugwa ata sijui nachomokaje kwenye hili!
Iko hivi mimi nimeolewa na tuko fresh tu na mume ananipenda na ananitimizia mahitaji yote, kwa bed anapeleka moto mpk nakiona kilichomtoa kanga manyoya maana nafika vilele vyote kibo na mawenzi nakojoa mpaka naishiwa mkojo nakojoa upepo fyuuuuu
Sasa sijui shetani gani kanipitia nikatamani kuchepuka, si nikapata bwana nae mtamu balaa km mume wangu akanichanganya kijana yule penzi likawa motroo
Sasa kwenye simu nikamsevu cheps nikikatisha mchepuko
Tatizo linakuja toka saa 4 asubuhi nampigia simu hapokei anakata nikajua atakuwa ofisini! Nikamtafuta tena hapokei anakata! Ikabidi nimtumie msg vipi msweetie utakuwa na nafasi unitoe upwiruu nimemiss kweli show yako! Hapo milipanga nitoroke job! Nayo iyo sms hajajibu. Nikaendelea kutuma lakini sijibiwi ikabidi nirudi home sababu na mimi muda wa kazi umeisha
Nimerudi nyumbani nikiwa sina raha mpenzi wangu atakuwa na shida gani mbona sio kawaida yake na wivu ukanishika, nikajua kuna mtu mwingine anafaidi. My huzbnd akaniuliza vipi mke wangu mbona umekuwa mnyonge? Nikamwambia sijisikii vizuri kichwa chaniuma. Akasema kunywa panadol! Basi nikaelekea jikoni kupika mume wangu yupo sitting room anaangalia mpira
Mara simu yangu ikawa inaita kuangalia mchepuko wangu niliruka kwa furaha km nimeshinda bahati nasibu
Nikakimbilia nje chap nikapokea simu kwa kumbusu mwah! mwah! Jamani bae mbona kunifanyia hivyo mwana wa mwenzio raha sina nakupigia simu hupokei msg nazo hujib nini tatizo tamu yangu?
Nilichojibiwa nyie acheni msiombe kukutwa na bwana Pepsi!! Si nikasikia sauti ya mume wangu inaniambia, ebu acha umalaya njoo uniwekee chakula njaa inaniuma, nilichokaa
Nikaangalia simu kumbe jina linasoma cheps namba ya mume wangu means alifuta namba ya mchepuko akasevu ya kwake lakin jina likabaki la mchepuko
Hapa nawaza niende ndani au niondokee iyo iyo nisaidieni jamani
Wenye sonona plz msinizidishie sonona naombeni mnifariji na kunijibu kwa upole na upendo.
NB; Sio mimi ni mtu wangu wa karibu anaomba ushahuri kaomba nimletee
MJE MTOE USHAURI
Jamani naombeni ushahuri hapa nipo nimevurugwa ata sijui nachomokaje kwenye hili!
Iko hivi mimi nimeolewa na tuko fresh tu na mume ananipenda na ananitimizia mahitaji yote, kwa bed anapeleka moto mpk nakiona kilichomtoa kanga manyoya maana nafika vilele vyote kibo na mawenzi nakojoa mpaka naishiwa mkojo nakojoa upepo fyuuuuu
Sasa sijui shetani gani kanipitia nikatamani kuchepuka, si nikapata bwana nae mtamu balaa km mume wangu akanichanganya kijana yule penzi likawa motroo
Sasa kwenye simu nikamsevu cheps nikikatisha mchepuko
Tatizo linakuja toka saa 4 asubuhi nampigia simu hapokei anakata nikajua atakuwa ofisini! Nikamtafuta tena hapokei anakata! Ikabidi nimtumie msg vipi msweetie utakuwa na nafasi unitoe upwiruu nimemiss kweli show yako! Hapo milipanga nitoroke job! Nayo iyo sms hajajibu. Nikaendelea kutuma lakini sijibiwi ikabidi nirudi home sababu na mimi muda wa kazi umeisha
Nimerudi nyumbani nikiwa sina raha mpenzi wangu atakuwa na shida gani mbona sio kawaida yake na wivu ukanishika, nikajua kuna mtu mwingine anafaidi. My huzbnd akaniuliza vipi mke wangu mbona umekuwa mnyonge? Nikamwambia sijisikii vizuri kichwa chaniuma. Akasema kunywa panadol! Basi nikaelekea jikoni kupika mume wangu yupo sitting room anaangalia mpira
Mara simu yangu ikawa inaita kuangalia mchepuko wangu niliruka kwa furaha km nimeshinda bahati nasibu
Nikakimbilia nje chap nikapokea simu kwa kumbusu mwah! mwah! Jamani bae mbona kunifanyia hivyo mwana wa mwenzio raha sina nakupigia simu hupokei msg nazo hujib nini tatizo tamu yangu?
Nilichojibiwa nyie acheni msiombe kukutwa na bwana Pepsi!! Si nikasikia sauti ya mume wangu inaniambia, ebu acha umalaya njoo uniwekee chakula njaa inaniuma, nilichokaa
Nikaangalia simu kumbe jina linasoma cheps namba ya mume wangu means alifuta namba ya mchepuko akasevu ya kwake lakin jina likabaki la mchepuko
Hapa nawaza niende ndani au niondokee iyo iyo nisaidieni jamani
Wenye sonona plz msinizidishie sonona naombeni mnifariji na kunijibu kwa upole na upendo.
NB; Sio mimi ni mtu wangu wa karibu anaomba ushahuri kaomba nimletee