Ilisha nitokeaga pisi moja ivi kanisani ilikiwa inaimba kwaya mm najifunza keyboard, sasa nikachukua namba yake tukawa tunachati kiaina baada ya week kama mbili siku iyo natafuta namba yake si ioni maana alikuwa anashika simu yangu akitaka(smart yy ana kitochi 2015 iyo), kumbe alifuta jina nilo msave mm yeye akajisave Utamu wangu😂, niligundua hilo baada ya kwenda mazoezini nikamuuliza kwa hiyo umeamua kufuta namba yako sio akajibu sijafuta ipo tu we itafute Nikajuta iyo Utamu wangu, mtoto alikuwa anaitwa NICE, mi nilikuwa na muita NICEONE😋 Ni wa kigoma asee story yake ni ndefu nimekumbuka lakin niishie hapa.. popote ulipo niceone😘