Mchepuko oyeee!

Nafikiri mahala pazuri ambako ulipaswa kuutangaza huu umal*** wako ni mtaani kwenu kisha ndio ungekuja humu,naona umeamua kuutukuza umal***
 
Yawezekana mme kazi yake kujaza misosi ndani na kujisahau kama huyo mke aliacha kwao hivyo
vyote kamfuata yeye, ila kusema ukweli wanaume wengi wanajisahau sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Uongo huu. Kinyume chake ndiyo ukweli, yaani wanawake walioolewa ndiyo wanaojisahau. Wanaume hata siku moja hatujajisahau. Mara nyingi wanawake walioolewa wanatufanya tuwakinai. Ndiyo kama huyu aliyeanzisha hii mada, unadhani muolewaji huyu kahaba mkubwa.
 
Kama haupo kwenye ndoa nyamaza , ila sina mabishano na mtu ni mawazo yangu hayo huwenda ndiyo watu ninaokutana nao huku

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wako wangapi!? Ni swali muhimu ambalo hajajiuliza bado.
 
Chaajabu na kushangaza Hapo ukikuta Sms ya mwanamke kwenye simu ya mumeo unamtukana mumeo nakumwona malaya nakuanza kusema nirudishe kwetu na kumtangaza kuwa anasaliti… yani wanawake mnajijua wenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
 
mimi nilitegemea watu kama nyinyi baba zetu au mama zetu ndo mtufundishe sisi vijana kuwa na maadili na kujiheshimu na ndoa zetu lakini ndio kwanza mnajisifia kwa kufanya uzinzi ila ndo maana mimi mtu siku hizi nikiona anaoa au anaolewa namuonea huruma ....fuvk yuo and him and your husband cause his stupid how the fucvk he didnt even realize you screw another man for all these years.wanawake ni watu wa hovyi ndio maana mumeumbwa kwa ajili ya ngono na sio kingine hapa duniani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…